Official and Confirmed: MVP Zouzoua Pacome is green and yellow

Official and Confirmed: MVP Zouzoua Pacome is green and yellow

Franky Samuel

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2018
Posts
5,195
Reaction score
13,785
[emoji599] OFFICIAL & CONFIRMED:

Klabu ya Yanga imethibitisha kukamilisha usajili wa kiungo fundi ZOUZOUA PACOME (26) kutoka Asec kwa Mkataba wa miaka miwili.

Pacome [emoji1132] ni kiungo mshambuliaji kutoka Asec mimossas Ndiye MVP wa ligi ya Ivory coast ni mchezaji mkubwa mwenye thamani kubwa.

20230719_222948.jpg
 
[emoji599] OFFICIAL & CONFIRMED:

Klabu ya Yanga imethibitisha kukamilisha usajili wa kiungo fundi ZOUZOUA PACOME (26) kutoka Asec kwa Mkataba wa miaka miwili.

Pacome [emoji1132] ni kiungo mshambuliaji kutoka Asec mimossas Ndiye MVP wa ligi ya Ivory coast ni mchezaji mkubwa mwenye thamani kubwa.

View attachment 2693637
Kwahyo jina lake halisi ni Zoazoa au Zuzu.
 
Anaenda KUCHUKUA nafasi ya Bangala.

Aucho NAYE sijui ishu yake IPO vipi???
 
Back
Top Bottom