Shein aula,tofauti 1%
Duh, Seif kapoteza tena!
Mhhhhhh. Hapa mi naona Seif kala deal tu yaishe awe waziri kiongozi. Kwa tofauti ya kura 3500 hisingekuwa rahisi kukubali matokeo so simple. Hapa deal imefanyika.
Mbona wanakuwa wagumu kutangaza wabunge wenye tofauti ya zaidi ya kura 500