warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Haka kadada nilikua nakachukia, kalikua kana mapepe mno na nyodo flan hivi , ila toka wanazengo wampe makavu Naona siku hizi akili zimemrudia, kako focused hakana mapepe kama zamani, ameanza kukaa kwenye ramani mpaka makampuni yameanza kumtumia kama balozi kwenye products zao .
Habari Mpya ni hii, mrembo huyo mwenye mvuto na uzuri wa asili, amelamba dili la ubalozi wa hair Darling Tanzania , mrembo huyo alipost kwenye ukurusa wake wa instagram mapema jana ikimuonyesha akisain mkataba ndani ya kampuni hyo.
Official Lynn , naweza kusema ndiye Mrembo anayeishi maisha expensive kuliko mrembo mwingine yeyote wa calibre yake ( wadangaji). Unaambiwa lyn kwa sasa anaongoza kwa kutoka na wanaume wenye pesa chafu , ndani na nje ya nchi. Uzuri sasa hvi ameanza kujielewa na kujitengenezea vi ajira vya hapa na pale , licha ya ukweli kwamba anaweza kukaa mwaka mzima bila kufanya kazi yeyote na still aka survive.
Lyn anaweza kuwa tishio kwa mastaa kama wema , Hamisa,Tunda , Lulu, husna maulid kama akiendelea kujituma na kuwa Serious na kazi , I can see potential in her .
Kazi inaleta heshima Hata kama ukiwa unadanga but have your business or something else to do , hongera sana official Lynn , more success Darling
Sent from my iPhone using JamiiForums
Habari Mpya ni hii, mrembo huyo mwenye mvuto na uzuri wa asili, amelamba dili la ubalozi wa hair Darling Tanzania , mrembo huyo alipost kwenye ukurusa wake wa instagram mapema jana ikimuonyesha akisain mkataba ndani ya kampuni hyo.
Official Lynn , naweza kusema ndiye Mrembo anayeishi maisha expensive kuliko mrembo mwingine yeyote wa calibre yake ( wadangaji). Unaambiwa lyn kwa sasa anaongoza kwa kutoka na wanaume wenye pesa chafu , ndani na nje ya nchi. Uzuri sasa hvi ameanza kujielewa na kujitengenezea vi ajira vya hapa na pale , licha ya ukweli kwamba anaweza kukaa mwaka mzima bila kufanya kazi yeyote na still aka survive.
Lyn anaweza kuwa tishio kwa mastaa kama wema , Hamisa,Tunda , Lulu, husna maulid kama akiendelea kujituma na kuwa Serious na kazi , I can see potential in her .
Kazi inaleta heshima Hata kama ukiwa unadanga but have your business or something else to do , hongera sana official Lynn , more success Darling
Sent from my iPhone using JamiiForums