Official Lynn aonyesha jeuri ya pesa, Anunua BMW mpya

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Ila Haka katoto kanakuja kwa kasi aiseh, juzi tu kahongwa volkswagen kwenye birthday yake , Leo tena kahongwa BMW , naona wambea tumechonga sio yake kaamua kutuumbua na kadi ya gari, mmh mwaka wako bibie, we danga tu ufanye ya maana, waulize akina wema sasa hvi wako wapi , wanatembea hadi na mateja na matapeli.

Ila Mimi nilisema, irene Ana danga lake la maana , na ndio aliomnunulia zawadi ya gari siku ya birthday yake , Diamond hawez nunulia Gari mwanamke, mbahili sana , hata hamisa mwenyewe ni vile tu aliroga na aliambiwa afiche siri kuwa wanatoka wote na Ana mimba yake , domo haongagi hovyo hovyo , hamisa mwenyewe ikabidi ajizalishe ndo aambulie child support , vinginevyo angejuta.

Ila irene anakula bata , jumba analoishi sasa, ukiliona utasikia kizungu zungu, hata kama kapangishiwa bata tu anakula kwa kweli .


Kwa sasa hvi kwa mastaa wadangaji bongo , irene ndo anawakimbiza, hakuna cha mobeto, tunda , uwoya, wema wala nani, sema tu ndo akumbuke kufanya vya maana , wakimchoka watamfanya kama walivyomfanya wema , sasa hiv analala mpaka na akina dogo janja
 
Kuuliza nyumba anayo? BMW mpya unaijua?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…