Official mange account on Jf

Idd Ninga

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2012
Posts
5,497
Reaction score
4,775
Huyu licha ya kuchimbwa kamkwara kadogo na yule jamaa wa DSM pale bado anaendelea kuonyesha ukomandoo wake.
kama vipi hebu afungue account hapa Jf halafu yale mambo yake ayalete huku ili tumpime kama kweli ligi lake ni la mchangani au uwanja wa nyasi.
alete hoja huku kwa mtindo ule ule na jina lile lile ili watu wampime kidogo uweze kujibu mashambulizi ya karibu.
yani Jf wampe hata kaofa kakukaa humu kwa wiki moja tu.
ila kumbuka aje na mbinu zile zile na hoja zile zile za kule.
 
Mkuu unamjua Mange unamsikia? unataka siri zako zote tusizozifahamu ziwe hadharani?
kwa Jf atakuwa akiulizwa na kujibiwa live,itakuwa sehemu nzuri sana kwake kumpima.
na kama anajua siri basi itajulikana ukweli wake upo wapi ?
 
Anayo verified account
MangeKimambi
 
Kama unamtaka mfuate huko huko insta ukapambane naye.....
Wee naye lioga tuu si kule anakopostigi kuna option ya comment??
Ustake uhurumiwe huku. Mbona mzee mtuziii huwa anapambana naye huko huko?
 
kama ana uwezo wa kujua siri za mtu atashindwaje kujua ID fake ya mtu ?
Vitu vingine vya ajabu kweli yaan wewe uje fake fake fake zake halafu yeye aje na real real eti mshindane. Huone hata aibu kuwaza hivyo?. Na wewe weka jina halisi kama yeye ndo mshindane sio umfunge mikono nyuma then utake mpigane utakuwa ujuha wa kiwango cha reli yetu pendwa!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…