kuna wakati unatakiwa kusoma thread halafu ukajipa muda kidogo wa kufikiri.Kama unamtaka mfuate huko huko insta ukapambane naye.....
Wee naye lioga tuu si kule anakopostigi kuna option ya comment??
Ustake uhurumiwe huku. Mbona mzee mtuziii huwa anapambana naye huko huko?
Acha uwoga. Ni mpk uwe umeji expose sana kwa watu ndio na yeye anaweza ku dig in about you. Sio kila mtuMkuu unamjua Mange unamsikia? unataka siri zako zote tusizozifahamu ziwe hadharani?
Indeed akae huko hukoaisee kule insta watu hatumfuati tunahofia kumaliza mb zetu aje jf .....alete mambo yake ya unoko hahaha hamalizi wiki ban anayo mkuu
nani kasema aje huku ili ashindane na mtu ?Vitu vingine vya ajabu kweli yaan wewe uje fake fake fake zake halafu yeye aje na real real eti mshindane. Huone hata aibu kuwaza hivyo?. Na wewe weka jina halisi kama yeye ndo mshindane sio umfunge mikono nyuma then utake mpigane utakuwa ujuha wa kiwango cha reli yetu pendwa!!!
Hajui chochote! Yeye ni kama alivyokuwa marehemu Nico Zengekala, yule mwanamuziki aliyekuwa haoni ( Kipofu) akiimbia JJB.Wewe unaamini anajua kila kitu Chako,so ukijibizana naye atakuweka uchi??
watu zako wa karib ndo watakuvua nguoWewe unaamini anajua kila kitu Chako,so ukijibizana naye atakuweka uchi??
Ana account huku,fuatilia uandishi wake tu utamgundua hapaHuyu licha ya kuchimbwa kamkwara kadogo na yule jamaa wa DSM pale bado anaendelea kuonyesha ukomandoo wake.
kama vipi hebu afungue account hapa Jf halafu yale mambo yake ayalete huku ili tumpime kama kweli ligi lake ni la mchangani au uwanja wa nyasi.
alete hoja huku kwa mtindo ule ule na jina lile lile ili watu wampime kidogo uweze kujibu mashambulizi ya karibu.
yani Jf wampe hata kaofa kakukaa humu kwa wiki moja tu.
ila kumbuka aje na mbinu zile zile na hoja zile zile za kule.
Jeuri hiyo ya kujua jina halisi hana,wameshindwa watu wa cyber crime aweze mange?,acha basi kuishusha hadhi kiasi hicho jfYule ukimtukana hapa JF na I'D yako fake atakutafuta mpaka Ajue jina lako na maisha yako yote
Kwani umeambiwa Mange ni great thinker?Wewe kama unakajipu ambako kanamuhusu baba Jorgen basi mpe Mange tu ili JF huku sidhani kama anapatakaHuyu licha ya kuchimbwa kamkwara kadogo na yule jamaa wa DSM pale bado anaendelea kuonyesha ukomandoo wake.
kama vipi hebu afungue account hapa Jf halafu yale mambo yake ayalete huku ili tumpime kama kweli ligi lake ni la mchangani au uwanja wa nyasi.
alete hoja huku kwa mtindo ule ule na jina lile lile ili watu wampime kidogo uweze kujibu mashambulizi ya karibu.
yani Jf wampe hata kaofa kakukaa humu kwa wiki moja tu.
ila kumbuka aje na mbinu zile zile na hoja zile zile za kule.
Sio kweli anategemea kuletewa harafu anaposti bila hatakuthibitishaMkuu unamjua Mange unamsikia? unataka siri zako zote tusizozifahamu ziwe hadharani?