Official: Pep Guardiola kutua Manchester City

Official: Pep Guardiola kutua Manchester City

Huku wazee wa Old Trafford wakiendelea kumtazama Louis Van Gaal kwa jicho la 'sack him' na Chelsea wakiwa chini ya kocha wa kumi wa 19 wa kipindi cha mpito mholanzi 'Guus Hiddink' akisaidiana kwa karibu sana na Mbongo mwenzetu 'Didier Drogba'; vijeba vya Etihad vimeonyesha kila dalili ya kunasa saini ya Pep Guardiola baada ya kung'atuka Alianz Arena mwishoni mwa msimu huu.

Japo bado kuthibitishwa rasmi lakini vyanzo vya kuaminika vimethibitisha kuwa Pep Guardiola rasmi atatua Etihad.

Wapenzi na wanazi wa soka, tuendelee kufuatilia!



[/QUOTE

kichwa cha habari official halafu ndani pumba hizo hapo chini



Japo bado kuthibitishwa rasmi lakini vyanzo vya kuaminika vimethibitisha kuwa Pep Guardiola rasmi atatua Etihad.

Wapenzi na wanazi wa soka, tuendelee kufuatilia!
 
hakuna kocha atakayefundisha timu zenye wachezaji wa sasa wa Barcelona na Bayern Munich asipate sifa. huyo Goardiola ajiandae kuondoka kama wenzake. ni kocha aliyedandia mafaniko ya wenzake waliokuwa wametengeneza timu. Time will Tell

Hongera kwa kuutendea haki ubongo wako maana wengi wana muona ni bonge la kocha kumbe anasafiria nyota ya wenzake na huyu ataondoka kwa aibu kuliko akina Van gal au Mourinho
 
100% correct!

Naweza kusema Pep akija England ndio mwisho wa ufalme wake! Time will tell!

Naweza kusema Mou na Sir Alex ndio wababe pekee wa soka la EPL!

Mou hamna kitu ila ungesema wafalme wa soka la Epl ni Sir Alex na Wenger ningekuelewa
 
Sawa unachokisema ila mkuu kaa ukijua kwamba Guardiola ni kocha wa namna ya kipekee
sana kuwahi kupata kutokea katika soka hasa katika ngazi ya kocha wa klabu.

unamna wake ni upi? Kocha hapa duniani kwa sasa ni morinyo ambae amechuku uefa na timu tofauti.mfano akiwa na wachezaji wa kawaida sana intermilan na porto
 
Sasa nini maana ya OFFICIAL Kama bado haijadhibitishwa? BRN Ina Tabu Sana.!!
 
100% correct!

Naweza kusema Pep akija England ndio mwisho wa ufalme wake! Time will tell!

Naweza kusema Mou na Sir Alex ndio wababe pekee wa soka la EPL!

Nawaona kwa mbaliii mwisho wa msimu ujao mnaanza kupiga tena kelele oohhh karithi timu ya Pellegrin. Guardiola ana uwezo, ndo anakuja EPL kuwaonyesha uwezo wake sasaaaaaaaa.

Ctak tena niwackie eti karithi timu ya flan.
 
Back
Top Bottom