Hii takataka peleka kule katika kauzi kenu ka mkusanyiko wa vibaka ,hapa unatujazia seva.Team ya Chelsea hivi Leo wameconfirm usajili wa Timo Werner from RB Leipizig wa price clouse ya Paundi million 45 wa mkataba wake. Imeripotiwa Timo Werner atajiunga na Chelsea mwezi ujao(Mwezi wa 7) na atakuwa sehemu ya Kikosi Cha Chelsea itakaporudiana na Bayern Munich ligi ya mabingwa.
Usajili wa Timo Werner unakuwa wapili wa miamba hiyo ya London baada ya hapo awali kumsajili Winga wa kushoto na kiungo mshambuliaji hatari wa Ajax Hakim Ziyech. Hakim Ziyech amemaliza ligi before ya kuvunjwa kutokana na ugonjwa hatari wa Corona akiwa Ni top teyali Ni top assist wa ligi.
Tutaradhi wewe mgonjwa moyo na man utd yakoHii takataka peleka kule katika kauzi kenu ka mkusanyiko wa vibaka ,hapa unatujazia seva.
Ova
Huyo Ni mshabiki wa ArsenaneTutaradhi wewe mgonjwa moyo na man utd yako
Pale mshabiki asiye na matumaini na team yake anapotoa povu la hajaHii takataka peleka kule katika kauzi kenu ka mkusanyiko wa vibaka ,hapa unatujazia seva.
Ova
Mzee unaona kama umesajiri Messi kumbe ni Batshuay wa kizungu,Hahahaha khabari noma hizi..
CFC[emoji170][emoji170][emoji170]
Hii takataka peleka kule katika kauzi kenu ka mkusanyiko wa vibaka ,hapa unatujazia seva.
Ova
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wewe utakua ni mshabiki wa ile timu anayochezea David Luiz bila shaka. Siyo kwa povu hili.
Hahaha Kama ninyi tulivyowapiga m8 yenu mukaona mumewin ..luiz anafanya kazi nzuri anastaili pongezi..Mzee unaona kama umesajiri Messi kumbe ni Batshuay wa kizungu,
Batshuay wa kibeberuMzee unaona kama umesajiri Messi kumbe ni Batshuay wa kizungu,