Officialtekno amshukuru Diamond kwa kupost kazi zake,wimbo mpya wa tekno-Rara.

Officialtekno amshukuru Diamond kwa kupost kazi zake,wimbo mpya wa tekno-Rara.

Freelancer Wakala

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2016
Posts
1,193
Reaction score
828
9723cd3e432998d470b7117b6f77a8d8.jpg

Diamond kasupport kwa tekno na tekno naye bila hiyana kashukuru kwa brother wake.
Big up tekno.
494a6b087f0b71e3b655b242e8b19a68.jpg

Welcome tekno to Tanzania.
 
haaaaa alipumzika kuja kushtuka kiti kimeshachukuliwa na simba
Amekuta kina vumbi la chuma la kilograms 100 kukifuta anashindwa kimebaki na vumbi za figisufigusu tu ndo anachoelewa yeye.
Mond ni MTU mwingine kazi wanayo sasa.!!
 
Mnafurahishaga na huyo R. Kelly, ile project mnaiota kila siku maana ndo sehemu ya kujitetea.
Project yenyewe ilikuwa "kwa hisani ya watu wa Marekani"
kiba ni mtu asiyeweza kujipigania.
kiswahili fasaha tunaita ZWAZWA
 
haaaaa alipumzika kuja kushtuka kiti kimeshachukuliwa na simba
Umeona eeeh! Hafu Leo anatumia nguvu nyingi zaidi....wakati alitakiwa akaze toka kipindi hiyo na Leo Diamond angekua anamfata na kumwambia "Broo nafanyaje niweze kupenya soko la International?"
 
Dogo yuko vizuri sana kwenye shooting zake na yeye kwa upande wake yuko juu
Shaking na beat yuko vizuri
Hata akitoa nyimbo kila wiki
 
Back
Top Bottom