BlackBerry
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 1,839
- 958
Hayajakukuta, yakikufika ndio utajua hapohapotatizo watu mapenzi tumeyaweka moyoni na kuwa kama shareholder wa utendaji wa moyo
wakati yanatakiwa yakae akilini tu na yakileta za kuleta una delete tu at any time
yaani kujiua kwa sababu ya mwanamke, na wakati wanawake ni wengi kuliko waume?
anaway by spiritual there is something behinde
Kamanda wa polisi amesema risasi iliyompiga marehemu ulipitiliza na haikubaki mwilini. Je, hiyo risasi imepatikana eneo la tukio? na Je, ina match na bastola ya marehemu? Kama haimatch it means aliuliwa na hakujishoot mwenyewe.
Hayajakukuta, yakikufika ndio utajua hapohapo
Wanawake huwa hawachitiki kabisa wanasingiziwa, they are so innocent like angles in the heaven.
NN bana lol, hapa naona unapima oil au sio? Hivi somo wako kapotelea wapi siku hizi??? I mean NN (NoName)
Kaa mkao wa kujutia
Unajiua bcoz of fvcking chick? aisee mie siezi fanya huo ujinga.
Nyani huachi kunishangaza........
Hivi kumkuta mkeo/mumeo na mwanaume/mwanamke Bar kunajustify fumanizi?? Au hapa kuna story behind??
Kama ulikuepo bi mkubwa.Acha niteseke kwa mawazo muda mfupi ila kujiua neva..halafu kawakuta baa, angewakuta k'ndani!!..
Mie naomba tumrudie muumba, haya mambo yanazidi kila kukicha
Hii haiwezekani bana! Toka lini wanawake wameanza kuchiti? Wanawake huwaga hawachiti bana. Huyo jamaa maisha tu yamemshinda na akaamua kujiua sasa wanamsingizia infii mkewe.
hivi huyo viki ni mzuri sana au ana nini?
Hayajakukuta, yakikufika ndio utajua hapohapo
Acha niteseke kwa mawazo muda mfupi ila kujiua neva..halafu kawakuta baa, angewakuta k'ndani!!..[/QUOTE]
Inawezekana na yeye angelipanda kitandani ili iwe threesome
Aaah wapi ndugu yangu. Mimi nachosema ni kweli kabisa bana.