Ofisi ya ACT Wazalendo, CHADEMA isijifiche kwenye kivuli cha fimbo

Ofisi ya ACT Wazalendo, CHADEMA isijifiche kwenye kivuli cha fimbo

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
images (1).jpeg

Chama cha ACT-Wazalendo kinazindua ofisi yake mpya ya Makao Makuu iliyopo Magomeni jijini Dar es Salaam.

Bila kujali walipataje ofisi,lakini ACT wamepata ofisi nzuri yenye hadhi. Sasa wametaje ofisi hiyo ni mada nyingine kabisa.

ACT kupata ofisi kiujanja ujanja sio sababu ya nyie kutokuwa na Ofisi Kali. Ofisi ya sasa hailingani na hadhi na umri wa chama. Ni sawa na dingi anayeishi kwenye nyumba ya kupanga.
Oneni aibu jengeni ofisi bwana.
images.jpg


Nami nikija Dar nitaenda kushangaa ofisi ya ACT
 
Acha ushamba wewe mtoto Mdogo siasa umezijua juzi juzi

Unafahamu hata CHADEMA imehasisiwa mwaka gani? Dogo wewe
 
View attachment 2402131
Chama cha ACT-Wazalendo kinazindua ofisi yake mpya ya Makao Makuu iliyopo Magomeni jijini Dar es Salaam.

Bila kujali walipataje ofisi,lakini ACT wamepata ofisi nzuri yenye hadhi. Sasa wametaje ofisi hiyo ni mada nyingine kabisa.

ACT kupata ofisi kiujanja ujanja sio sababu ya nyie kutokuwa na Ofisi Kali. Ofisi ya sasa hailingani na hadhi na umri wa chama. Ni sawa na dingi anayeishi kwenye nyumba ya kupanga.
Oneni aibu jengeni ofisi bwana.

Nami nikija Dar nitaenda kushangaa ofisi ya ACT
Nyumba ya Maalim Seif! FULL STOP! CHADEMA is talking of OWNERSHIP, not possession!
 
Mwasisi mwenza wa Chadema Bilionea Tuntemeke Sanga alikuwa anaishi Hotelini pale Motel Agip

Usishangae ya Ufipa st kwa Bob Makani
 
Nyumba ya Maalim Seif! FULL STOP! CHADEMA is talking of OWNERSHIP, not possession!
Does this detriment you to construct a standard office? What is your querry, method of acquisition?! Is it a sin to Maalim Seif to grant the building to his party? How much had been granted by Mbowe, Makani, Mtei to Chadema?
 
Chadema wana makao yao ya hadhi yao pale ufipa...
 
View attachment 2402131
Chama cha ACT-Wazalendo kinazindua ofisi yake mpya ya Makao Makuu iliyopo Magomeni jijini Dar es Salaam.

Bila kujali walipataje ofisi,lakini ACT wamepata ofisi nzuri yenye hadhi. Sasa wametaje ofisi hiyo ni mada nyingine kabisa.

ACT kupata ofisi kiujanja ujanja sio sababu ya nyie kutokuwa na Ofisi Kali. Ofisi ya sasa hailingani na hadhi na umri wa chama. Ni sawa na dingi anayeishi kwenye nyumba ya kupanga.
Oneni aibu jengeni ofisi bwana.

Nami nikija Dar nitaenda kushangaa ofisi ya ACT

Kwenye hili naungana na ww kabisa. CDM tulikuwa tunawaambia muda mrefu wajenge ofisi yenye hadhi, na pesa ya kufanya hivyo ilikuwepo ndani ya uwezo. Viongozi wote waliokuwa ndani ya CDM ndani ya hii miaka 10 wamejenga mijengo yao binafsi yenye hadhi, kwanini sio ofisi yenye hadhi kama hakuna tatizo la msingi?

Ni sawa unafikia muda wa kuoa au kuolewa, huoi kisha jamii inakuhoji kulikoni, unasema kuoa sio lazima maana una vipaombele vingi! Ni kweli una viapombele vingi lakini kuoa ni lazima hata kama haijaandikwa mahali. Inapotokea kijana mdogo ameoa, ukianza kusema lakini kaoa mke wa aliyeachika hilo halikubebi ww ambaye hujaoa. Mimi ni shabiki Ndaki Ndaki wa CDM, kama nilivyopinga ujio wa Lowassa ndani ya CDM, na sasa nasema wazi CDM kukosa ofisi yenye hadhi ya chama chetu, ni aibu na haikubaliki.
 
Mleta mada Post nyumba yako kwanza afu ndo tujadili hoja yako.unaweza kukuta unaishi kwenye mitaro afu unasumbua Mjini.
Alafu sina hakika kama wewe darasani ulikuwa unakuwa wa ngapi??
Ungekuwa na akili ungeenda kwa msajiri au CAG ukaangalia asset and liability za chama Sio kukariri ajenda za kwenye kahawa na kufurahisha genge.
Mbona kuna watu kibao Hapo Mjini wamepanga Lakini Wana hela na projects kibao.
Msipende kuonekana chawa, utitiri,kupe,kunguni, Viroboto.
 
Kama wapambe wanaendeleza msemo wa Nyumba ya maalim seif kisa mtu mmoja wanaemuamini kasema

Hapo ndio uelewe uelewa wa wengine juu ya ubora wa ofisi yenye hadhi ya Chama

Kama viongozi tu wanaishi kwenye majumba mazuri ili kulinda hadhi zao na kufurahisha nafsi zao

Kwanini chama cha upinzani chenye wafuasi wengi kiwe na ofisi kama ya chama kichanga

Hii kauli ya chama kipo mioyoni mwa watu sio majengo ni kauli ya kipigaji kuhalalisha ujinga uonekano ni jambo la kawaida tu.
 
Kihistoria ACT ilianza na mtaji mkubwa hauwezi ilinganisha na vyama vingine mpaka sasa inashika madaraka upande wa pili, viongozi wote wa bara walikuwa ni wateule wa chama tawala baada ya uchaguzi, kwa maana hiyo ACT usilinganishe na vyama vya upinzani na unatakiwa kuilaumu serikali kwa kutotimiza makubaliano kisawasawa na kama yangetimizwa ACT leo wangekuwa na ndege.
 
..Kwani ofisi walizonazo sasa hivi zinaathiti utendaji wa chama?

..Kutokumiliki ofisi na magari ya kifahari si ni utaratibu mzuri wa kubana matumizi?

..Ni wangapi wanajiunga na chama cha siasa kwa kuvutiwa na jengo la makao makuu ya chama hicho?
 
Unaelewa kua muasisi wa chadema alikua ni gavana wa Benki kuu tz?

..watumishi wa serikali wakati wa Mwalimu Nyerere hawakujilmbikizia mali kama hawa wa siku hizi.

..hata Mwalimu Nyerere alistaafu akiwa hamiliki nyumba yake binafsi. Nyumba ya Msasani alipewa na serikali baada ya kustaafu.
 
Back
Top Bottom