Man from cuba
JF-Expert Member
- May 2, 2021
- 571
- 1,394
Niliona chadema makambako wakiwa bize kujenga ofisi ya kisasa nikajiuliza je CDM makao makuu hawalioni hilo???? Pesa ngapi wanazochangisha wanachama wao pesa ngp wanapata kutoka kwa wafadhili wao hii ni aibu ACT wamewavua nguo chutameni.huu uongo wa kina lema utakuja kufika mwisho na wanachama wenu watawachoka kila mtu anapenda sifa kila mwanachadema anatamani afike HQ apige picha sasa nani atapiga picha hapo getoni