Habari?
Rafiki yangu, Mtanzania, amenunua ardhi kule Zanzibar kwa kufuata mashauri yote ya sheha wa kijiji, alipata kibali cha kujenga kutoka halmashauri lakini watu wa ofisi ya ardhi hawajafika kupima ardhi hii kwa sababu wilayani walimchelewesha sana. Alipopata kibali cha kujenga alianza kujenga. Sasa alipokwenda kwa Ofisi ya Ardhi aliambiwa kwamba amefanya kosa kubwa kuanza kujenga bila kibali chao. Wanadai kwamba kibali hicho si juu ya halmashauri.
Je, mnaweza kumsaidia kuelewa haki yake?
Asanteni sana.
Rafiki yangu, Mtanzania, amenunua ardhi kule Zanzibar kwa kufuata mashauri yote ya sheha wa kijiji, alipata kibali cha kujenga kutoka halmashauri lakini watu wa ofisi ya ardhi hawajafika kupima ardhi hii kwa sababu wilayani walimchelewesha sana. Alipopata kibali cha kujenga alianza kujenga. Sasa alipokwenda kwa Ofisi ya Ardhi aliambiwa kwamba amefanya kosa kubwa kuanza kujenga bila kibali chao. Wanadai kwamba kibali hicho si juu ya halmashauri.
Je, mnaweza kumsaidia kuelewa haki yake?
Asanteni sana.