Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja tuone polisi watashughurikia hili kikamilifu?Hakuna kitu kinachouma katika maisha kama kupoteza nyaraka au data classified documents. Yalihusika katika hilo tukio yakamatwe mara moja
Hii ni mbegu aliyoipanda sasa imeotaLabda ni magufuli kawatuma,
Si ndo mlikuwa mnamsingizia wakati mnachoma wenyewe.
IPO Siku ntajajuta kwa huu upumbavu mnaofanyaNaona mmetengeza tukio wakuu,
Hongera sana ila janja yenu inajulikana,
#KAZIIENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
Poleni sana kwa janga hilo la kuunguliwa ofisi.Jambo hili la kusikitisha limefanyika usiku wa kuamkia leo, ambapo watu wasiofahamika wamelipua ofisi hiyo na kisha kutokomea kusikofahamika, nyaraka kadhaa za Chama hicho zimeteketea na nyingine zenye thamani kubwa zimeibwa.
Ikumbukwe pia kwamba Viongozi wa Chadema zaidi ya 50 wa Tunduma wamerudikwa rumande kwa zaidi ya mwaka kutokana na visasi vya kisiasa.
Mungu ibariki Chadema
Na nyie acheni ugomvi wa kijinga na vyombo vya ulinzi. Mnashinda mnawatukana halafu mkipata shida ndo wajekufanya niniPolisi huwa hawajishughulishi na mambo ya Chadema
WAJARIBU WAONE KUCHOMA OFISI ZA CCM WATATAMBAA CHINI KAMA NYOKA HIZO KIKI ZAO ZA KIJINGA WALA HATA POLISIHAWAHANGAIKI NAZO WAENDELEE KUYACHOMA TYU MABANDAYAO MPAKA YAISHENgoja tuone polisi watashughurikia hili kikamilifu?
Huu ndy mwanzo wa umwagaji damu,maana chadema wakijibu mapigo kwa kuchoma majingo ya ccm
Kitakachofuata kuviziana binaadam
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Acha ujinga wewe. Na ile gari ya mbunge wa ccm aliichoma mwenyewe ili apate kiki za kisiasaHii mmeichoma wenyewe ili mpate kiki kama kawaida yenu.
Kabla yake ofice zilichomwa hapo utasema alikua yeye?
Mambo mengine Chadema huwa ni yakujitakia ,wanachama wanashindwaje kuzilinda hizo ofisi nchi nzima?Jambo hili la kusikitisha limefanyika usiku wa kuamkia leo, ambapo watu wasiofahamika wamelipua ofisi hiyo na kisha kutokomea kusikofahamika, nyaraka kadhaa za Chama hicho zimeteketea na nyingine zenye thamani kubwa zimeibwa.
Ikumbukwe pia kwamba Viongozi wa Chadema zaidi ya 50 wa Tunduma wamerudikwa rumande kwa zaidi ya mwaka kutokana na visasi vya kisiasa.
Mungu ibariki Chadema
Kuanzia sasa tutawasifia kama anavyowasifia SimbachaweneNa nyie acheni ugomvi wa kijinga na vyombo vya ulinzi. Mnashinda mnawatukana halafu mkipata shida ndo wajekufanya nini
Pole KingaiNa nyie acheni ugomvi wa kijinga na vyombo vya ulinzi. Mnashinda mnawatukana halafu mkipata shida ndo wajekufanya nini
hapo utaambiwa upepelezi unaendelea miaka 5, then business as usual. ni kweli kwa sasa uonevu umepita kipimo.Huyu Mama ni shetani kabisa, haya mambo tulidhani mwendazake ndio alikuwa engineer kumbe ni udhaifu na tamaa ya madaraka. Inasikitisha sana.
Na ningekuwa na uwezo ningemchoma huyo ********Laana ya kushangilia kifo cha Magufuli itawafuna sana.
Na bado makubwa zaidi yanakuja