Ofisi ya CHADEMA Jimbo la Tunduma yapigwa kiberiti na watu Wasiojulikana, nyaraka zateketea

Ofisi ya CHADEMA Jimbo la Tunduma yapigwa kiberiti na watu Wasiojulikana, nyaraka zateketea

CCM hii ni sawa na Bokoharam tu.

C33D2FD7-FFC6-4C88-9B66-D91DB58A4CC3.jpeg
 
Hakuna kitu kinachouma katika maisha kama kupoteza nyaraka au data classified documents. Yalihusika katika hilo tukio yakamatwe mara moja
Ngoja tuone polisi watashughurikia hili kikamilifu?
Huu ndy mwanzo wa umwagaji damu,maana chadema wakijibu mapigo kwa kuchoma majingo ya ccm
Kitakachofuata kuviziana binaadam

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Jambo hili la kusikitisha limefanyika usiku wa kuamkia leo, ambapo watu wasiofahamika wamelipua ofisi hiyo na kisha kutokomea kusikofahamika, nyaraka kadhaa za Chama hicho zimeteketea na nyingine zenye thamani kubwa zimeibwa.

Ikumbukwe pia kwamba Viongozi wa Chadema zaidi ya 50 wa Tunduma wamerudikwa rumande kwa zaidi ya mwaka kutokana na visasi vya kisiasa.


Mungu ibariki Chadema
Poleni sana kwa janga hilo la kuunguliwa ofisi.

Lakini mkuu, mmejuaje kuwa nyaraka za thamani ya juu zimeibwa na sio kuteketea?
 
Ngoja tuone polisi watashughurikia hili kikamilifu?
Huu ndy mwanzo wa umwagaji damu,maana chadema wakijibu mapigo kwa kuchoma majingo ya ccm
Kitakachofuata kuviziana binaadam

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
WAJARIBU WAONE KUCHOMA OFISI ZA CCM WATATAMBAA CHINI KAMA NYOKA HIZO KIKI ZAO ZA KIJINGA WALA HATA POLISIHAWAHANGAIKI NAZO WAENDELEE KUYACHOMA TYU MABANDAYAO MPAKA YAISHE
 
Jambo hili la kusikitisha limefanyika usiku wa kuamkia leo, ambapo watu wasiofahamika wamelipua ofisi hiyo na kisha kutokomea kusikofahamika, nyaraka kadhaa za Chama hicho zimeteketea na nyingine zenye thamani kubwa zimeibwa.

Ikumbukwe pia kwamba Viongozi wa Chadema zaidi ya 50 wa Tunduma wamerudikwa rumande kwa zaidi ya mwaka kutokana na visasi vya kisiasa.


Mungu ibariki Chadema
Mambo mengine Chadema huwa ni yakujitakia ,wanachama wanashindwaje kuzilinda hizo ofisi nchi nzima?
 
Kuna watu waliasisi hizi siasa za chuki, hao wana hukumu wao pamoja na vizazi vyao kulaanika. Mwenyezi Mungu amewapa thawabu wapatanishi tu lakini kawalaani wanaoleta chuki na kupanda mbegu za uadui. MT. 5:9
 
Huyu Mama ni shetani kabisa, haya mambo tulidhani mwendazake ndio alikuwa engineer kumbe ni udhaifu na tamaa ya madaraka. Inasikitisha sana.
hapo utaambiwa upepelezi unaendelea miaka 5, then business as usual. ni kweli kwa sasa uonevu umepita kipimo.
 
Back
Top Bottom