Uchaguzi 2020 Ofisi ya CHADEMA Kanda ya Pwani baada ya Sumaye kuondoka washindwa kununua umeme ofisi iko giza

Uchaguzi 2020 Ofisi ya CHADEMA Kanda ya Pwani baada ya Sumaye kuondoka washindwa kununua umeme ofisi iko giza

hangaika na ya kwenu miaka mitano inaisha hakuna la maana mmefanya kuleta maendeleo zaidi ya kupandikiza chuki
 
hangaika na ya kwenu miaka mitano inaisha hakuna la maana mmefanya kuleta maendeleo zaidi ya kupandikiza chuki
ruzuku mabilioni mumepata mnashindwa kununua hata umeme wa elfu moja uwake computer zifanye kazi na mashine za photocopy

Yaani wafanyakazi wanakosa kaumeme hata ka ku chaji simu zao,Mbona mnawapa mazingira magumu ya kazi
 
Mzee Sumaye aliwajengea chadema ofisi nzuri tu ya chama sasa hivi iko giza wameshindwa kununua umeme wa luku

uchaguzi itakuwaje ?
Hivi kamanda mbowe anapelekaga wapi pesa za michango na ruzuku?
Alafu ile michango ya kwenye mitandao ya simu kutoka bavicha imefikia kiasi gani?
 
ruzuku mabilioni mumepata mnashindwa kununua hata umeme wa elfu moja uwake computer zifanye kazi na mashine za photocopy

Yaani wafanyakazi wanakosa kaumeme hata ka ku chaji simu zao,Mbona mnawapa mazingira magumu ya kazi

Hizi propaganda za kitoto sana.... Kama Polepole ndio anawatuma kutoa hoja za namna hii huko Ni kufirisika kiakili..
 
Mzee Sumaye aliwajengea chadema ofisi nzuri tu ya chama sasa hivi iko giza wameshindwa kununua umeme wa luku

uchaguzi itakuwaje ?
safi sisi kama CCM tunatàka CHADEMA ife wewe ikikosa umene inakuuma nini?
 
Huu uzi bila picha ni uzushi...lete picha inayoonesha kukiwa giza na picha ya mita ya luku ikiwa siffuri
 
Ni fitna tu za CCM kukata umeme hiyo line ni mbovu
 
CCM hamna hoja za maendeleo?, kesho utasema umemuona mkiti wa CDM kavaa shati halija nyooshwa pasi, lol, firisika mali usifirisike akili.
Ng'ombe za Lumumba zina wivu kama mke mwenza.
 
hangaika na ya kwenu miaka mitano inaisha hakuna la maana mmefanya kuleta maendeleo zaidi ya kupandikiza chuki

Sasa kama upo kipofu utaonaje yaliyofanika?
Ni haki yako kutokujua nini kimefanyika maana huoni.
 
Sasa kama upo kipofu utaonaje yaliyofanika?
Ni haki yako kutokujua nini kimefanyika maana huoni.
kudharau na kupuuza walemavu ipo kwenye katiba na ilani ya chama chenu. majibu yako hayashangazi.
 
Mzee Sumaye aliwajengea chadema ofisi nzuri tu ya chama sasa hivi iko giza wameshindwa kununua umeme wa luku

uchaguzi itakuwaje ?
Acha uongo wee pimbi..uzr Niko humu humu ofcn hapa magomeni..umeme?? wee kenge kbs...ambao hata sh 10000 tu unakaa wk ndo tushindwe ??? haya nenda kachukue bk 7 bc watoto wako waeende choo
 
Back
Top Bottom