Ofisi ya DPP ifumuliwe wanakula mishahara bure

Ofisi ya DPP ifumuliwe wanakula mishahara bure

Ileje

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
9,524
Reaction score
13,682
Rais Samia ana kila sababu ya kuivunja ofisi ya DPP na kuisuka upya kwa sababu imeshindwa kukidhi mahitaji ya Taifa na kuonyesha umahiri wake.

Itakumbukwa kuwa Mbowe alikamatwa yapata mwezi mmoja na nusu uliyopita na kuunganishwa katika kesi ya ugaidi inayowakabili watuhumiwa watatu waliokamatwa zaidi ya mwaka mmoja uliyopita. Katika kipindi chote hicho DPP alikuwa anapeleleza tuhuma hizi za ugaidi na akajiridhisha kuwa wana kesi ya kujibu.

Tofauti na mategemeo ya watu wengi inakuja kugundulika mahakamani mashtaka yamekosewa na hivyo kushauriwa kwenda kuyarekebisha upya. Haiingii akili DPP na timu yake nzima wamekaa mwaka mzima kuandika mashtaka yasiyokidhi viwango vya kuitwa mashtaka! DPP gani huyu anakaa na tuhuma mwaka mzima halafu anashindwa kuandika mashtaka? Kazi yake nini hasa kama hawezi kuandika mashtaka? Halafu mwaka mzima anaingia ofisini kumbe anakwenda kusoma magazeti na kunywa chai kwa gharama za kodi zetu!

DPP na timu yake nzima hawastahili kuendelea kukaa katika ofisi hizo za umma, watafutiwe kazi nyingine za kufanya au wastaafishwe kwa manufaa ya umma! DPP ameonyesha si tu uzembe bali hajui sheria wala taratibu za mahakama.

Ukosefu wa weledi wa DPP umeonekana duniani kote kwa sababu za umaarufu wa Mbowe. Je ni wangapi wasio maarufu wanasota mahabusu kwa sababu za ujinga wa DPP.

DPP hana sifa za kuendelea kuwepo ofisini atimuliwe mara moja!
 
DPP mweledi mlimfanyia majungu akatolewa akaletwa huyo ambaye mlimsifia sana baada ya watu wenye nasaba nanyi kutolewa nje, lakini kwa hili mmegeuka kisogo nyuma.

Wanasiasa wanapoingilia taaluma ya mtu ndio huharibu matendo na taratibu za kazi
 
DPP mweledi mlimfanyia majungu akatolewa akaletwa huyo ambaye mlimsifia sana baada ya watu wenye nasaba nanyi kutolewa nje, lakini kwa hili mmegeuka kisogo nyuma.

Wanasiasa wanapoingilia taaluma ya mtu ndio huharibu matendo na taratibu za kazi
Mkuu, DPP mweledi ni nani, Biswalo? Usikufuru Mungu ndugu yangu. Wakikusikia ya Mahabusu waliopo Keko, Segerea, Ukonga na magereza mengine nchini kwa mateso aliyowasabishia kwa kuwabambia kesi na kuzuia dhamana watakugawana nyama
 
Rais Samia ana kila sababu ya kuivunja ofisi ya DPP na kuisuka upya kwa sababu imeshindwa kukidhi mahitaji ya Taifa na kuonyesha umahiri wake.

Itakumbukwa kuwa Mbowe alikamatwa yapata mwezi mmoja na nusu uliyopita na kuunganishwa katika kesi ya ugaidi inayowakabili watuhumiwa watatu waliokamatwa zaidi ya mwaka mmoja uliyopita. Katika kipindi chote hicho DPP alikuwa anapeleleza tuhuma hizi za ugaidi na akajiridhisha kuwa wana kesi ya kujibu.

Tofauti na mategemeo ya watu wengi inakuja kugundulika mahakamani mashtaka yamekosewa na hivyo kushauriwa kwenda kuyarekebisha upya. Haiingii akili DPP na timu yake nzima wamekaa mwaka mzima kuandika mashtaka yasiyokidhi viwango vya kuitwa mashtaka! DPP gani huyu anakaa na tuhuma mwaka mzima halafu anashindwa kuandika mashtaka? Kazi yake nini hasa kama hawezi kuandika mashtaka? Halafu mwaka mzima anaingia ofisini kumbe anakwenda kusoma magazeti na kunywa chai kwa gharama za kodi zetu!

DPP na timu yake nzima hawastahili kuendelea kukaa katika ofisi hizo za umma, watafutiwe kazi nyingine za kufanya au wastaafishwe kwa manufaa ya umma! DPP ameonyesha si tu uzembe bali hajui sheria wala taratibu za mahakama.

Ukosefu wa weledi wa DPP umeonekana duniani kote kwa sababu za umaarufu wa Mbowe. Je ni wangapi wasio maarufu wanasota mahabusu kwa sababu za ujinga wa DPP.

DPP hana sifa za kuendelea kuwepo ofisini atimuliwe mara moja!
Huyo utamuonea bure tu unafikiri hiyo kesi ni utashi wake na yeye anasukumwa tu na mamlaka ya uteuzi/chama tawala na hawezi kataa maana ana familia ya kuilisha na yeye mwenyewe anataka aishi pia
 
DPP mweledi mlimfanyia majungu akatolewa akaletwa huyo ambaye mlimsifia sana baada ya watu wenye nasaba nanyi kutolewa nje, lakini kwa hili mmegeuka kisogo nyuma.

Wanasiasa wanapoingilia taaluma ya mtu ndio huharibu matendo na taratibu za kazi
Huyo huyo "mweledi" ndiye kaanza na hiyo kesi,ubabaishi wote una muangukia yeye.
 
Rais Samia ana kila sababu ya kuivunja ofisi ya DPP na kuisuka upya kwa sababu imeshindwa kukidhi mahitaji ya Taifa na kuonyesha umahiri wake.

Itakumbukwa kuwa Mbowe alikamatwa yapata mwezi mmoja na nusu uliyopita na kuunganishwa katika kesi ya ugaidi inayowakabili watuhumiwa watatu waliokamatwa zaidi ya mwaka mmoja uliyopita. Katika kipindi chote hicho DPP alikuwa anapeleleza tuhuma hizi za ugaidi na akajiridhisha kuwa wana kesi ya kujibu.

Tofauti na mategemeo ya watu wengi inakuja kugundulika mahakamani mashtaka yamekosewa na hivyo kushauriwa kwenda kuyarekebisha upya. Haiingii akili DPP na timu yake nzima wamekaa mwaka mzima kuandika mashtaka yasiyokidhi viwango vya kuitwa mashtaka! DPP gani huyu anakaa na tuhuma mwaka mzima halafu anashindwa kuandika mashtaka? Kazi yake nini hasa kama hawezi kuandika mashtaka? Halafu mwaka mzima anaingia ofisini kumbe anakwenda kusoma magazeti na kunywa chai kwa gharama za kodi zetu!

DPP na timu yake nzima hawastahili kuendelea kukaa katika ofisi hizo za umma, watafutiwe kazi nyingine za kufanya au wastaafishwe kwa manufaa ya umma! DPP ameonyesha si tu uzembe bali hajui sheria wala taratibu za mahakama.

Ukosefu wa weledi wa DPP umeonekana duniani kote kwa sababu za umaarufu wa Mbowe. Je ni wangapi wasio maarufu wanasota mahabusu kwa sababu za ujinga wa DPP.

DPP hana sifa za kuendelea kuwepo ofisini atimuliwe mara moja!
Dpp anakula kodi zetu bure hawez hata kundaa mashitak ni aibu
 
Huyo huyo "mweledi" ndiye kaanza na hiyo kesi,ubabaishi wote una muangukia yeye.
Kesi ngapi alizoanza nazo zimebatilishwa? Wangebatilisha na hii basi kama kweli weredi unatumika. DPP wa sasa amepwaya kuzidi maelezo.
 
Huyo utamuonea bure tu unafikiri hiyo kesi ni utashi wake na yeye anasukumwa tu na mamlaka ya uteuzi/chama tawala na hawezi kataa maana ana familia ya kuilisha na yeye mwenyewe anataka aishi pia
Anaendekeza tumbo badala ya taaluma? Hajui ataharibikiwa baadaye?
 
Rais Samia ana kila sababu ya kuivunja ofisi ya DPP na kuisuka upya kwa sababu imeshindwa kukidhi mahitaji ya Taifa na kuonyesha umahiri wake.

Itakumbukwa kuwa Mbowe alikamatwa yapata mwezi mmoja na nusu uliyopita na kuunganishwa katika kesi ya ugaidi inayowakabili watuhumiwa watatu waliokamatwa zaidi ya mwaka mmoja uliyopita. Katika kipindi chote hicho DPP alikuwa anapeleleza tuhuma hizi za ugaidi na akajiridhisha kuwa wana kesi ya kujibu.

Tofauti na mategemeo ya watu wengi inakuja kugundulika mahakamani mashtaka yamekosewa na hivyo kushauriwa kwenda kuyarekebisha upya. Haiingii akili DPP na timu yake nzima wamekaa mwaka mzima kuandika mashtaka yasiyokidhi viwango vya kuitwa mashtaka! DPP gani huyu anakaa na tuhuma mwaka mzima halafu anashindwa kuandika mashtaka? Kazi yake nini hasa kama hawezi kuandika mashtaka? Halafu mwaka mzima anaingia ofisini kumbe anakwenda kusoma magazeti na kunywa chai kwa gharama za kodi zetu!

DPP na timu yake nzima hawastahili kuendelea kukaa katika ofisi hizo za umma, watafutiwe kazi nyingine za kufanya au wastaafishwe kwa manufaa ya umma! DPP ameonyesha si tu uzembe bali hajui sheria wala taratibu za mahakama.

Ukosefu wa weledi wa DPP umeonekana duniani kote kwa sababu za umaarufu wa Mbowe. Je ni wangapi wasio maarufu wanasota mahabusu kwa sababu za ujinga wa DPP.

DPP hana sifa za kuendelea kuwepo ofisini atimuliwe mara moja!
Ukiwaona walivyotinga na majoho meusi unaweza dhani watu wa maana kumbe wachumia tumbo tu!
 
Mkuu, DPP mweledi ni nani, Biswalo? Usikufuru Mungu ndugu yangu. Wakikusikia ya Mahabusu waliopo Keko, Segerea, Ukonga na magereza mengine nchini kwa mateso aliyowasabishia kwa kuwabambia kesi na kuzuia dhamana watakugawana nyama
Hakuna mtu anayebambikia kesi zaidi ya wewe mwenyewe matendo yako na kukosa kuwajibika nayo ndio matokeo hayo halafu unakuja na ngojera ya kusingiziwa. DPP hakamati wala kuchunguza na kukusanya ushahidi zaidi ya polisi kisha yeye anafanya uamuzi wa kufungua kesi kwa kulingana na ushahidi ulioambatanishwa.
 
Huyo utamuonea bure tu unafikiri hiyo kesi ni utashi wake na yeye anasukumwa tu na mamlaka ya uteuzi/chama tawala na hawezi kataa maana ana familia ya kuilisha na yeye mwenyewe anataka aishi pia
Si angejiuzulu kama anashinikizwa kinyume na sheria ili kulinda weledi, taaluma na taasisi ya sheria? Kwanini ang'ang'anie kisha chakula chenye masimango yanayoshusha hadhi?
 
Huyo huyo "mweledi" ndiye kaanza na hiyo kesi,ubabaishi wote una muangukia yeye.
Sasa huyo aliyeingia kwanini hakuiondoa pindi tu alipopewa madaraka?

Kiongozi yeyote mwenye taaluma anapoteuliwa na kiongozi wa kisiasa anatekeleza matakwa ya mamlaka ya uteuzi hivyo sio vema kumlaumu DPP ambaye yeye analetewa majarada yakiwa yameambatanishwa na ushahidi ambapo yeye hana wapelelezi kutoka ofisi yake ila kutoka polisi
 
Si angejiuzulu kama anashinikizwa kinyume na sheria ili kulinda weledi, taaluma na taasisi ya sheria? Kwanini ang'ang'anie kisha chakula chenye masimango yanayoshusha hadhi?
Wakati mwingine wala siyo kushinikizwa bali kujikomba.
 
Rais Samia ana kila sababu ya kuivunja ofisi ya DPP na kuisuka upya kwa sababu imeshindwa kukidhi mahitaji ya Taifa na kuonyesha umahiri wake.

Itakumbukwa kuwa Mbowe alikamatwa yapata mwezi mmoja na nusu uliyopita na kuunganishwa katika kesi ya ugaidi inayowakabili watuhumiwa watatu waliokamatwa zaidi ya mwaka mmoja uliyopita. Katika kipindi chote hicho DPP alikuwa anapeleleza tuhuma hizi za ugaidi na akajiridhisha kuwa wana kesi ya kujibu.

Tofauti na mategemeo ya watu wengi inakuja kugundulika mahakamani mashtaka yamekosewa na hivyo kushauriwa kwenda kuyarekebisha upya. Haiingii akili DPP na timu yake nzima wamekaa mwaka mzima kuandika mashtaka yasiyokidhi viwango vya kuitwa mashtaka! DPP gani huyu anakaa na tuhuma mwaka mzima halafu anashindwa kuandika mashtaka? Kazi yake nini hasa kama hawezi kuandika mashtaka? Halafu mwaka mzima anaingia ofisini kumbe anakwenda kusoma magazeti na kunywa chai kwa gharama za kodi zetu!

DPP na timu yake nzima hawastahili kuendelea kukaa katika ofisi hizo za umma, watafutiwe kazi nyingine za kufanya au wastaafishwe kwa manufaa ya umma! DPP ameonyesha si tu uzembe bali hajui sheria wala taratibu za mahakama.

Ukosefu wa weledi wa DPP umeonekana duniani kote kwa sababu za umaarufu wa Mbowe. Je ni wangapi wasio maarufu wanasota mahabusu kwa sababu za ujinga wa DPP.

DPP hana sifa za kuendelea kuwepo ofisini atimuliwe mara moja!
Yaani wanaofaidika nayo ndio waifumue!
 
Rais Samia ana kila sababu ya kuivunja ofisi ya DPP na kuisuka upya kwa sababu imeshindwa kukidhi mahitaji ya Taifa na kuonyesha umahiri wake.

Itakumbukwa kuwa Mbowe alikamatwa yapata mwezi mmoja na nusu uliyopita na kuunganishwa katika kesi ya ugaidi inayowakabili watuhumiwa watatu waliokamatwa zaidi ya mwaka mmoja uliyopita. Katika kipindi chote hicho DPP alikuwa anapeleleza tuhuma hizi za ugaidi na akajiridhisha kuwa wana kesi ya kujibu.

Tofauti na mategemeo ya watu wengi inakuja kugundulika mahakamani mashtaka yamekosewa na hivyo kushauriwa kwenda kuyarekebisha upya. Haiingii akili DPP na timu yake nzima wamekaa mwaka mzima kuandika mashtaka yasiyokidhi viwango vya kuitwa mashtaka! DPP gani huyu anakaa na tuhuma mwaka mzima halafu anashindwa kuandika mashtaka? Kazi yake nini hasa kama hawezi kuandika mashtaka? Halafu mwaka mzima anaingia ofisini kumbe anakwenda kusoma magazeti na kunywa chai kwa gharama za kodi zetu!

DPP na timu yake nzima hawastahili kuendelea kukaa katika ofisi hizo za umma, watafutiwe kazi nyingine za kufanya au wastaafishwe kwa manufaa ya umma! DPP ameonyesha si tu uzembe bali hajui sheria wala taratibu za mahakama.

Ukosefu wa weledi wa DPP umeonekana duniani kote kwa sababu za umaarufu wa Mbowe. Je ni wangapi wasio maarufu wanasota mahabusu kwa sababu za ujinga wa DPP.

DPP hana sifa za kuendelea kuwepo ofisini atimuliwe mara moja!
Uongo haupangiki.

Kuna pahala utakosea tuu.
 
Back
Top Bottom