wewe una ofisi?Hivi najiuliza sana ile ofisi ya Kanumba mdogo wake Seth alidai anaiendeleza na wakaja watoto wengine wa yule baba yao wakajidai wamejipanga kuendeleza mtanange,
HIvi imeishia wapi mana hata muvi zenyewe hatuoni...HAIJAFUNGWA KWELI na vifaa kuuzwa?
ukishajua ipo utafanyaje?Hivi najiuliza sana ile ofisi ya Kanumba mdogo wake Seth alidai anaiendeleza na wakaja watoto wengine wa yule baba yao wakajidai wamejipanga kuendeleza mtanange,
HIvi imeishia wapi mana hata muvi zenyewe hatuoni...HAIJAFUNGWA KWELI na vifaa kuuzwa?
ukishajua ipo utafanyaje?
wewe una ofisi?
mtu akishakufa mara nyingi hata miradi yake hufa...
only in africa....!!!!! Angalia mabara mengine ambako watu wameenda shule!
mtu akishakufa mara nyingi hata miradi yake hufa...
mie nilipita pale panatia huruma nadhan hata kama panafunguliwa itakuwa mara chache
duh mazeeeee...kha..we nani aiseee?????Seth aliwahi kusema kila mtu ana mipango yake na hawez kuwa kama kanumba, nadhan walitoa movie kama mbili ivi ile ya malaika n movie gan cjui, ofis kufungua anafunguag sema mara nying anakuwag ndan cjui anafanyag nn, maan mchan tunakuwaga nae meeda lunch
duh mazeeeee...kha..we nani aiseee?????
only in africa....!!!!! Angalia mabara mengine ambako watu wameenda shule!
Kuna usemi huu wa kiswahili ,utasikia nawewe katafute mali yako au nunua gari lako ndio ujifundishe kuendesha ,sasa shughuli akiugua hela ianaisha na hata mtu wa kuendesha gari kumpelekahospitali anakuwa hayupo.Na yote hiyo ni ulimbukeni wa sisi waafrikalinapokuja swala la biashara au mali,tupo tofauti na wahindi,kwamfano akina Mo au Manji hizo biashara walianzisha baba zao na sasa wao ndio wanaziendesha baadaye nao watakaa pembeni watoto wao ndio watakao ziendesha,lakini sio sisi ,ukiondoka na biashara au mali zinaondoka.tatizo letu waafrika ni ubinafsi, watu hawajiamini kabisa kuweka wazi mipango na ndoto zao na ni vipi watafanya ili kutimiza ndoto hizo...
watu ni lazima waangalie kwamba ikiwa watatangulia mbele ya haki ni nani hasa atasimamia miradi yake, na akishamfahamu ni vema akaanza kumuandaa taratibu kwa kumshirikisha katika baadhi ya mambo.
pia sio muhimu kwa huyo mtu kujua kama unamuandaa kwa ajili hiyo, yeye ajue tu kuwa unamuamini kiasi cha kumshirikisha katika shughuli zako za kimaendeleo.