Vaislay
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 4,532
- 1,829
Hivi najiuliza sana ile ofisi ya Kanumba mdogo wake Seth alidai anaiendeleza na wakaja watoto wengine wa yule baba yao wakajidai wamejipanga kuendeleza mtanange,
HIvi imeishia wapi mana hata muvi zenyewe hatuoni...HAIJAFUNGWA KWELI na vifaa kuuzwa?
HIvi imeishia wapi mana hata muvi zenyewe hatuoni...HAIJAFUNGWA KWELI na vifaa kuuzwa?