dicloppa
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 278
- 407
Wakuu naamini humu kuna watu wengi sana wanaomiliki ofisi za kutengeneza simu mbali na Kariakoo yaani huku mitaani.
Sasa hitaji langu mimi ni kufungua ofisi ya ufundi wa SIMU na LED TELEVISION
Naombeni muongozo na namna nzuri ya kuifanya kazi hii
Naomba kuwasilisha!!
Sasa hitaji langu mimi ni kufungua ofisi ya ufundi wa SIMU na LED TELEVISION
Naombeni muongozo na namna nzuri ya kuifanya kazi hii
Naomba kuwasilisha!!