Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Linazimika zimika mara kwa mara hasa kipindi hiki cha mvuaKwanini unauza?
Unaposema ofisi unaniacha hoi mkuu, sema hardware ya kuchomea muvi. Sasa leo ndo napata kujua ni kwanini watu wengi huenda ofisiniBado ipo Ofisi inaendelea na kazi, PM za kuuliza ipo au haipo nashindwa zijibu zote ila Mali bado Ipo ikiuzwa nitaweka UPDATE chini ya Uzi kuwa Ofisi imeshauzwa.
Bado hujasemaHapo kwa sisi tunaojua hii mambo ya movie mwamba anauza bei ya hasara....iyo 1m ni bei ya disk tu tena Tupu....njoo machine mixer kioo hakika mwamba yamemsibu ukipigiwa mahesabu ya izo bei ya movie tu kwangu uje na 500k ndio nikujazie izo 20tb.Kwangu Mimi bei ya haki kabisa hapo vyote vina thamani ya 2Ml.
Pia kujaza izo 20 tb sio kazi ya siku moja hapo kama unajaza bila kuzima mashine usiku jua wiki mbili ukizima wiki 4 .