INAUZWA Ofisi ya movie, computer 21 telabytes inauzwa

INAUZWA Ofisi ya movie, computer 21 telabytes inauzwa

Mali ipo inaendelea na kazi yani kama ilivyo BODA BODA inatangazwa huku ikiendelea kuleta hesabu ndio kinachofanyika kwenye hii ofisi ndio mana haiuziki kwa uharaka kama mteja utakua hujafika bei.
 
Bado ipo Ofisi inaendelea na kazi, PM za kuuliza ipo au haipo nashindwa zijibu zote ila Mali bado Ipo ikiuzwa nitaweka UPDATE chini ya Uzi kuwa Ofisi imeshauzwa.
Unaposema ofisi unaniacha hoi mkuu, sema hardware ya kuchomea muvi. Sasa leo ndo napata kujua ni kwanini watu wengi huenda ofisini
 
Hapo kwa sisi tunaojua hii mambo ya movie mwamba anauza bei ya hasara....iyo 1m ni bei ya disk tu tena Tupu....njoo machine mixer kioo hakika mwamba yamemsibu ukipigiwa mahesabu ya izo bei ya movie tu kwangu uje na 500k ndio nikujazie izo 20tb.Kwangu Mimi bei ya haki kabisa hapo vyote vina thamani ya 2Ml.
Pia kujaza izo 20 tb sio kazi ya siku moja hapo kama unajaza bila kuzima mashine usiku jua wiki mbili ukizima wiki 4 .
Bado hujasema
 
Back
Top Bottom