Mla Bata
JF-Expert Member
- Jan 24, 2013
- 7,841
- 17,491
Sisi tumekamilisha kila kitu kinachohitajika ila kuna mwanamama mmoja anapenda rushwa balaa amekalia cheti hataki kutupatia...
🤔🤔 Tanzania yangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi tumekamilisha kila kitu kinachohitajika ila kuna mwanamama mmoja anapenda rushwa balaa amekalia cheti hataki kutupatia...
Unadanganya siyo rahisi kihivyo.Alikutana na wababaishaji. Na labda alikuwa hajakamilisha documents ...
Inabidi uende wizarani na
1. Katiba ya NGO
2. Cv za founders (Not less than 5 members )
3. Muhtasari wa kuanzisha NGO
4. TRA stamp
5. Barua ya utambulisho kutoka mkoani kwako (Barua hutolewa na ofisi ya Maendeleo ya Jamii mkoa )
Ukiwa na hizo documents cheti unaweza kupewa siku hiyo hiyo.
Umedanganya tena.Watanzania sijui hii tabia ya kujifanya unajua kila kitu itakuja kuisha lini !! Hunijui Wala sikujui ila unaniita eti nadanganya ...
Mimi Nina NGO Kama nne tangu Niko chuo NGO yangu ya mwisho nimesajiri mwaka Jana December na sikutumia hata siku tatu ...
Kitu Kama hujui uwe unasema uelekezwe ndugu yangu.View attachment 1487987
Una kichaa wewe sio bure , sishangai kwanini hata msajiri wa NGO hakupi hiyo certificate. Haustahili kuwa na NGO wewe kichwa chako hakiko sawa.Umedanganya tena.
Kwanini lakini?
Hili lina maana kuliko zile chai zako.Una kichaa wewe sio bure , sishangai kwanini hata msajiri wa NGO hakupi hiyo certificate. Haustahili kuwa na NGO wewe kichwa chako hakiko sawa.
Nikudanganye wewe ili iweje ?
Mwanaume Hanithi anayehitaji mkeHili lina maana kuliko zile chai zako.
Jamaa muongo sana wewe.
Chizi kakutoa povu. Vipi una vigezo?