Ofisi ya msajiri wa NGOs bado haiendani na spidi ya awamu ya tano ya Magufuli

Sisi tumekamilisha kila kitu kinachohitajika ila kuna mwanamama mmoja anapenda rushwa balaa amekalia cheti hataki kutupatia...

πŸ€”πŸ€” Tanzania yangu.
 
Unadanganya siyo rahisi kihivyo.
Itakua upo hiyo ofisi au umesimuliwa. Sisi wateja tumekamilisha na bado hakuna hatua yoyote.
 
Umedanganya tena.
Kwanini lakini?
 
Umedanganya tena.
Kwanini lakini?
Una kichaa wewe sio bure , sishangai kwanini hata msajiri wa NGO hakupi hiyo certificate. Haustahili kuwa na NGO wewe kichwa chako hakiko sawa.


Nikudanganye wewe ili iweje ?
 
Una kichaa wewe sio bure , sishangai kwanini hata msajiri wa NGO hakupi hiyo certificate. Haustahili kuwa na NGO wewe kichwa chako hakiko sawa.


Nikudanganye wewe ili iweje ?
Hili lina maana kuliko zile chai zako.
Jamaa muongo sana wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…