Mimi nimeumia na nimeniuma sana: haiwezekani mtu ume-graduate 2015 unaachwa kuajiliwa eti anaajiriwa wa 2018 kisa kakuzidi umri
Kwahiyo kutokuwa na umi mkubwa ni kosa?
Je, ajira za serikali sharti iwe na miaka mingapi? Tunaomba ufafanuzi,
Mtu kaanzia kufanya kazi kwenye taasisi binafsi hadi kachoka ameacha ana-aplyy serikalini wanamujili kisa ana umri mkubwa
Kwanini msiajili watu kwa kufuatia mtililiko wa mwaka wa kuhitimu?
Kwanini uchukue wa 2018 na sisi wa 2015 tupo na sifa tunazo?
Mimi nimelaani sana hicho kitendo. Sawa tu😭
Kwahiyo kutokuwa na umi mkubwa ni kosa?
Je, ajira za serikali sharti iwe na miaka mingapi? Tunaomba ufafanuzi,
Mtu kaanzia kufanya kazi kwenye taasisi binafsi hadi kachoka ameacha ana-aplyy serikalini wanamujili kisa ana umri mkubwa
Kwanini msiajili watu kwa kufuatia mtililiko wa mwaka wa kuhitimu?
Kwanini uchukue wa 2018 na sisi wa 2015 tupo na sifa tunazo?
Mimi nimelaani sana hicho kitendo. Sawa tu😭