DOKEZO Ofisi ya Rais Utumishi, TAMISEMI na Mkurugenzi wa Manispaa ya Sumbawanga okoeni mtumishi huyu

DOKEZO Ofisi ya Rais Utumishi, TAMISEMI na Mkurugenzi wa Manispaa ya Sumbawanga okoeni mtumishi huyu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mtumishi mwenye Mkataba namba Na. SMC/CW/PF.113/3 amefika Ofisini kwetu na ameomba tupaze sauti kwa niaba yake. Hii hapa historia fupi ya malalamiko yake.

Wakati wa zoezi la uhakiki wa Watumishi wa Umma 2016/2017 mwajiri wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga alizuia, kusitisha na Hatimaye kumwondoa kwenye malipo ya mshahara akiwa masomoni kwa Shahada ya kwanza katika moja ya vyuo vikuu hapa nchini. (Zingatia kuwa alikuwa na sifa zote kwenda masomoni na kwa ufadhili wa Mwajiri wake). Huyu Mtumishi alilalamikia hatua hiyo na baada ya uhakiki mwajiri alijiridhisha pasi na shaka kwamba;

1. Si Mtumishi hewa.
2. Alikuwa na Ruhusa Rasmi ya kwenda Masomoni.

CHANGAMOTO
Kwa kuwa mwajiri alishazuia, kusitisha na kumwondoa kwenye malipo ya mshahara tangu Januari 2017, imekuwa ni vigumu kumrejesha Kazini licha ya juhudi kubwa za ufuatiliaji wa mara kwa mara na kwa muda wote anazoendelea kuchukua kwa Muda wa miaka 7.

sasa! Ikumbukwe kwamba kati ya Julai na Disemba 2021, Ndugu, Jamaa na Marafiki walilazimika kumchangia Fedha za kuweka kambi Ofisi za Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga ili kukwamua shauri lake.

Kwa ujumla alifanikiwa kwa hatua kadhaa maana kamati ya nidhamu ilimuita kwa barua yenye Kumb. Na.SMC/CW/PF.118/6 na kumhoji kwa maneno na kwa Maandishi. Kamati hiyo iliahidi kutoa taarifa yake kwa Mkurugenzi ili nae atoe uamuzi wake kulingana na Taratibu.

OMBI LAKE KWA MAMLAKA HIZI
Anaomba Mamlaka zimsaidie kujua.
A) Mchakato uliotumika kuzuia, kusimamisha na Hatimaye kumwondoa kwenye malipo ya Mshahara January 2017.
B) Majibu ya Kamati ya Nidhamu chini ya Ofisi Mwajiri wake iliyomuita na kumhoji tarehe 11.11.2021 kwa Barua yenye Kumb.Na SMC/CW/PF.118/6
C) Endapo hatua A na B hapo juu hazikuzingatia Kanuni za Utumishi wa Umma, basi aruhusiwe kuendelea kutumikia mkataba wake wa Ajira kama ulivyo na Marekebisho yake.
D) Na iwapo alishaondolewa Kazini, ni haki ajulishwe kwa Barua Rasmi kulingana na Sheria, Taratibu na Kanuni za Kiutumishi.

IKUMBUKWE KUWA
Mheshimiwa Rais Dr. Samia Suluhu Hassan alitoa maelekezo kwa waliokuwa watumishi hewa kurejeshewa sehemu ya iliyokuwa michango yao. Lakini kwa kesi ya Mtumishi huyu imekuwa ni vigumu maana si Mtumishi hewa na hana Barua yoyote inayoelezea hatima ya Mkataba wake vs Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga.

Amejaribu kudai mafao yake PSSSF, Jambo hili nalo limekuwa gumu na kwa ufupi limeshindikana maana hana fao analoweza kuangukia.

TETESI ZILIZOPO KUHUSU UGUMU WA JAMBO HILI
Inasadikika kwamba Afisa Utumishi katika Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga kwa wakati huo Bwana Shaphat Samuel Kaponela, alificha Jalada (Kama siyo kulipoteza kabisa) la Mtumishi huyu na hivyo kwa sasa inakuwa vigumu kwa Watendaji waliopo kufanya Uamuzi Sahihi.

Afisa huyo alichukua Uamuzi huo wa ajabu baada ya kubaini kuwa aliipotosha Mamlaka kufikia maamuzi ya kufaa. Kwa sasa Afisa huyo amehamishwa. Tunazo nyaraka nyingi kuhusiana na shauri hili na tunapanga namna ya kumsaidia huyu mwenzetu ili haki yake ipatikane maana Jambo hili limekuwa ni mateso kwake yeye na familia yake. Amerudi kwao kijijini na anajitafuta kutokea huko. Mamlaka na wadau mbalimbali mvusheni mwenzetu.
Mshauri,aende Utumishi HQ,au TAMISEMI-Dodoma.
 
Km mkurugenzi hataki kutoa barua aende kwa katibu tawala wilaya au mkoa na aeleze kuwa mkurugenzi hataki kutoa maelezo. Lakini pia nimetoa njia zingine za kisheria
Hizo Mamlaka Kama zina uwezo huo basi hii njia ni rahisi sana. Maana jamaa anataka barua yenye Uamuzi wowote ule ili hata kama ni kuchukua hatua za ziada basi aanzie hapo.
 
Mtumishi mwenye Mkataba namba Na. SMC/CW/PF.113/3 amefika Ofisini kwetu na ameomba tupaze sauti kwa niaba yake. Hii hapa historia fupi ya malalamiko yake.

Wakati wa zoezi la uhakiki wa Watumishi wa Umma 2016/2017 mwajiri wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga alizuia, kusitisha na Hatimaye kumwondoa kwenye malipo ya mshahara akiwa masomoni kwa Shahada ya kwanza katika moja ya vyuo vikuu hapa nchini. (Zingatia kuwa alikuwa na sifa zote kwenda masomoni na kwa ufadhili wa Mwajiri wake). Huyu Mtumishi alilalamikia hatua hiyo na baada ya uhakiki mwajiri alijiridhisha pasi na shaka kwamba;

1. Si Mtumishi hewa.
2. Alikuwa na Ruhusa Rasmi ya kwenda Masomoni.

CHANGAMOTO
Kwa kuwa mwajiri alishazuia, kusitisha na kumwondoa kwenye malipo ya mshahara tangu Januari 2017, imekuwa ni vigumu kumrejesha Kazini licha ya juhudi kubwa za ufuatiliaji wa mara kwa mara na kwa muda wote anazoendelea kuchukua kwa Muda wa miaka 7.

sasa! Ikumbukwe kwamba kati ya Julai na Disemba 2021, Ndugu, Jamaa na Marafiki walilazimika kumchangia Fedha za kuweka kambi Ofisi za Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga ili kukwamua shauri lake.

Kwa ujumla alifanikiwa kwa hatua kadhaa maana kamati ya nidhamu ilimuita kwa barua yenye Kumb. Na.SMC/CW/PF.118/6 na kumhoji kwa maneno na kwa Maandishi. Kamati hiyo iliahidi kutoa taarifa yake kwa Mkurugenzi ili nae atoe uamuzi wake kulingana na Taratibu.

OMBI LAKE KWA MAMLAKA HIZI
Anaomba Mamlaka zimsaidie kujua.
A) Mchakato uliotumika kuzuia, kusimamisha na Hatimaye kumwondoa kwenye malipo ya Mshahara January 2017.
B) Majibu ya Kamati ya Nidhamu chini ya Ofisi Mwajiri wake iliyomuita na kumhoji tarehe 11.11.2021 kwa Barua yenye Kumb.Na SMC/CW/PF.118/6
C) Endapo hatua A na B hapo juu hazikuzingatia Kanuni za Utumishi wa Umma, basi aruhusiwe kuendelea kutumikia mkataba wake wa Ajira kama ulivyo na Marekebisho yake.
D) Na iwapo alishaondolewa Kazini, ni haki ajulishwe kwa Barua Rasmi kulingana na Sheria, Taratibu na Kanuni za Kiutumishi.

IKUMBUKWE KUWA
Mheshimiwa Rais Dr. Samia Suluhu Hassan alitoa maelekezo kwa waliokuwa watumishi hewa kurejeshewa sehemu ya iliyokuwa michango yao. Lakini kwa kesi ya Mtumishi huyu imekuwa ni vigumu maana si Mtumishi hewa na hana Barua yoyote inayoelezea hatima ya Mkataba wake vs Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga.

Amejaribu kudai mafao yake PSSSF, Jambo hili nalo limekuwa gumu na kwa ufupi limeshindikana maana hana fao analoweza kuangukia.

TETESI ZILIZOPO KUHUSU UGUMU WA JAMBO HILI
Inasadikika kwamba Afisa Utumishi katika Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga kwa wakati huo Bwana Shaphat Samuel Kaponela, alificha Jalada (Kama siyo kulipoteza kabisa) la Mtumishi huyu na hivyo kwa sasa inakuwa vigumu kwa Watendaji waliopo kufanya Uamuzi Sahihi.

Afisa huyo alichukua Uamuzi huo wa ajabu baada ya kubaini kuwa aliipotosha Mamlaka kufikia maamuzi ya kufaa. Kwa sasa Afisa huyo amehamishwa. Tunazo nyaraka nyingi kuhusiana na shauri hili na tunapanga namna ya kumsaidia huyu mwenzetu ili haki yake ipatikane maana Jambo hili limekuwa ni mateso kwake yeye na familia yake. Amerudi kwao kijijini na anajitafuta kutokea huko. Mamlaka na wadau mbalimbali mvusheni mwenzetu.
KWANZA AENDE AKASOME AL-BADEER HUKU AKISEMA HIVI "KAMA ANAONEWA NA KUDHULUMIWA WANAOMDHULUMU WAPATE HUKUMU KALI YA MUNGU NA KAMA HAONEWI WASIDHURIKE".HAKUNA NAMNA.
 
Mtumishi mwenye Mkataba namba Na. SMC/CW/PF.113/3 amefika Ofisini kwetu na ameomba tupaze sauti kwa niaba yake. Hii hapa historia fupi ya malalamiko yake.

Wakati wa zoezi la uhakiki wa Watumishi wa Umma 2016/2017 mwajiri wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga alizuia, kusitisha na Hatimaye kumwondoa kwenye malipo ya mshahara akiwa masomoni kwa Shahada ya kwanza katika moja ya vyuo vikuu hapa nchini. (Zingatia kuwa alikuwa na sifa zote kwenda masomoni na kwa ufadhili wa Mwajiri wake). Huyu Mtumishi alilalamikia hatua hiyo na baada ya uhakiki mwajiri alijiridhisha pasi na shaka kwamba;

1. Si Mtumishi hewa.
2. Alikuwa na Ruhusa Rasmi ya kwenda Masomoni.

CHANGAMOTO
Kwa kuwa mwajiri alishazuia, kusitisha na kumwondoa kwenye malipo ya mshahara tangu Januari 2017, imekuwa ni vigumu kumrejesha Kazini licha ya juhudi kubwa za ufuatiliaji wa mara kwa mara na kwa muda wote anazoendelea kuchukua kwa Muda wa miaka 7.

sasa! Ikumbukwe kwamba kati ya Julai na Disemba 2021, Ndugu, Jamaa na Marafiki walilazimika kumchangia Fedha za kuweka kambi Ofisi za Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga ili kukwamua shauri lake.

Kwa ujumla alifanikiwa kwa hatua kadhaa maana kamati ya nidhamu ilimuita kwa barua yenye Kumb. Na.SMC/CW/PF.118/6 na kumhoji kwa maneno na kwa Maandishi. Kamati hiyo iliahidi kutoa taarifa yake kwa Mkurugenzi ili nae atoe uamuzi wake kulingana na Taratibu.

OMBI LAKE KWA MAMLAKA HIZI
Anaomba Mamlaka zimsaidie kujua.
A) Mchakato uliotumika kuzuia, kusimamisha na Hatimaye kumwondoa kwenye malipo ya Mshahara January 2017.
B) Majibu ya Kamati ya Nidhamu chini ya Ofisi Mwajiri wake iliyomuita na kumhoji tarehe 11.11.2021 kwa Barua yenye Kumb.Na SMC/CW/PF.118/6
C) Endapo hatua A na B hapo juu hazikuzingatia Kanuni za Utumishi wa Umma, basi aruhusiwe kuendelea kutumikia mkataba wake wa Ajira kama ulivyo na Marekebisho yake.
D) Na iwapo alishaondolewa Kazini, ni haki ajulishwe kwa Barua Rasmi kulingana na Sheria, Taratibu na Kanuni za Kiutumishi.

IKUMBUKWE KUWA
Mheshimiwa Rais Dr. Samia Suluhu Hassan alitoa maelekezo kwa waliokuwa watumishi hewa kurejeshewa sehemu ya iliyokuwa michango yao. Lakini kwa kesi ya Mtumishi huyu imekuwa ni vigumu maana si Mtumishi hewa na hana Barua yoyote inayoelezea hatima ya Mkataba wake vs Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga.

Amejaribu kudai mafao yake PSSSF, Jambo hili nalo limekuwa gumu na kwa ufupi limeshindikana maana hana fao analoweza kuangukia.

TETESI ZILIZOPO KUHUSU UGUMU WA JAMBO HILI
Inasadikika kwamba Afisa Utumishi katika Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga kwa wakati huo Bwana Shaphat Samuel Kaponela, alificha Jalada (Kama siyo kulipoteza kabisa) la Mtumishi huyu na hivyo kwa sasa inakuwa vigumu kwa Watendaji waliopo kufanya Uamuzi Sahihi.

Afisa huyo alichukua Uamuzi huo wa ajabu baada ya kubaini kuwa aliipotosha Mamlaka kufikia maamuzi ya kufaa. Kwa sasa Afisa huyo amehamishwa. Tunazo nyaraka nyingi kuhusiana na shauri hili na tunapanga namna ya kumsaidia huyu mwenzetu ili haki yake ipatikane maana Jambo hili limekuwa ni mateso kwake yeye na familia yake. Amerudi kwao kijijini na anajitafuta kutokea huko. Mamlaka na wadau mbalimbali mvusheni mwenzetu.
Hii hali ilimkuta kaka yangu. Alikuwa ni mtumishi H/W ya Kilosa, kada ya Ualimu, alienda kujiendeleza 2016 wakati huo akiwa na Diploma, kilichomkuta mpaka leo anajuta. Kadhia zao zinafanana 100% ila yy amekuwa kwenda kulima baada ya kugundua anapoteza muda. Hii n true story
 
KWANZA AENDE AKASOME AL-BADEER HUKU AKISEMA HIVI "KAMA ANAONEWA NA KUDHULUMIWA WANAOMDHULUMU WAPATE HUKUMU KALI YA MUNGU NA KAMA HAONEWI WASIDHURIKE".HAKUNA NAMNA.
Duh! Hii kali japo iko sawasawa
 
Mtumishi mwenye Mkataba namba Na. SMC/CW/PF.113/3 amefika Ofisini kwetu na ameomba tupaze sauti kwa niaba yake. Hii hapa historia fupi ya malalamiko yake.

Wakati wa zoezi la uhakiki wa Watumishi wa Umma 2016/2017 mwajiri wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga alizuia, kusitisha na Hatimaye kumwondoa kwenye malipo ya mshahara akiwa masomoni kwa Shahada ya kwanza katika moja ya vyuo vikuu hapa nchini. (Zingatia kuwa alikuwa na sifa zote kwenda masomoni na kwa ufadhili wa Mwajiri wake). Huyu Mtumishi alilalamikia hatua hiyo na baada ya uhakiki mwajiri alijiridhisha pasi na shaka kwamba;

1. Si Mtumishi hewa.
2. Alikuwa na Ruhusa Rasmi ya kwenda Masomoni.

CHANGAMOTO
Kwa kuwa mwajiri alishazuia, kusitisha na kumwondoa kwenye malipo ya mshahara tangu Januari 2017, imekuwa ni vigumu kumrejesha Kazini licha ya juhudi kubwa za ufuatiliaji wa mara kwa mara na kwa muda wote anazoendelea kuchukua kwa Muda wa miaka 7.

sasa! Ikumbukwe kwamba kati ya Julai na Disemba 2021, Ndugu, Jamaa na Marafiki walilazimika kumchangia Fedha za kuweka kambi Ofisi za Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga ili kukwamua shauri lake.

Kwa ujumla alifanikiwa kwa hatua kadhaa maana kamati ya nidhamu ilimuita kwa barua yenye Kumb. Na.SMC/CW/PF.118/6 na kumhoji kwa maneno na kwa Maandishi. Kamati hiyo iliahidi kutoa taarifa yake kwa Mkurugenzi ili nae atoe uamuzi wake kulingana na Taratibu.

OMBI LAKE KWA MAMLAKA HIZI
Anaomba Mamlaka zimsaidie kujua.
A) Mchakato uliotumika kuzuia, kusimamisha na Hatimaye kumwondoa kwenye malipo ya Mshahara January 2017.
B) Majibu ya Kamati ya Nidhamu chini ya Ofisi Mwajiri wake iliyomuita na kumhoji tarehe 11.11.2021 kwa Barua yenye Kumb.Na SMC/CW/PF.118/6
C) Endapo hatua A na B hapo juu hazikuzingatia Kanuni za Utumishi wa Umma, basi aruhusiwe kuendelea kutumikia mkataba wake wa Ajira kama ulivyo na Marekebisho yake.
D) Na iwapo alishaondolewa Kazini, ni haki ajulishwe kwa Barua Rasmi kulingana na Sheria, Taratibu na Kanuni za Kiutumishi.

IKUMBUKWE KUWA
Mheshimiwa Rais Dr. Samia Suluhu Hassan alitoa maelekezo kwa waliokuwa watumishi hewa kurejeshewa sehemu ya iliyokuwa michango yao. Lakini kwa kesi ya Mtumishi huyu imekuwa ni vigumu maana si Mtumishi hewa na hana Barua yoyote inayoelezea hatima ya Mkataba wake vs Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga.

Amejaribu kudai mafao yake PSSSF, Jambo hili nalo limekuwa gumu na kwa ufupi limeshindikana maana hana fao analoweza kuangukia.

TETESI ZILIZOPO KUHUSU UGUMU WA JAMBO HILI
Inasadikika kwamba Afisa Utumishi katika Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga kwa wakati huo Bwana Shaphat Samuel Kaponela, alificha Jalada (Kama siyo kulipoteza kabisa) la Mtumishi huyu na hivyo kwa sasa inakuwa vigumu kwa Watendaji waliopo kufanya Uamuzi Sahihi.

Afisa huyo alichukua Uamuzi huo wa ajabu baada ya kubaini kuwa aliipotosha Mamlaka kufikia maamuzi ya kufaa. Kwa sasa Afisa huyo amehamishwa. Tunazo nyaraka nyingi kuhusiana na shauri hili na tunapanga namna ya kumsaidia huyu mwenzetu ili haki yake ipatikane maana Jambo hili limekuwa ni mateso kwake yeye na familia yake. Amerudi kwao kijijini na anajitafuta kutokea huko. Mamlaka na wadau mbalimbali mvusheni mwenzetu.
Serikalini watu wana roho mbaya sana hususani maafisa utumishi, Huwa wanafanya ofisi kama mali zao binafsi, mm ukiniharibia ofsn nakutafuta mtaani, Bora tukose wote, pili, nafasi za uteuzi kama wakurugenzi wa halmashauri, wakuu wa wilaya na ma das, hawana msaada Kwa watumishi na serikali Kwa ujumla kimsingi ni mizigo
 
Mtumishi mwenye Mkataba namba Na. SMC/CW/PF.113/3 amefika Ofisini kwetu na ameomba tupaze sauti kwa niaba yake. Hii hapa historia fupi ya malalamiko yake.

Wakati wa zoezi la uhakiki wa Watumishi wa Umma 2016/2017 mwajiri wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga alizuia, kusitisha na Hatimaye kumwondoa kwenye malipo ya mshahara akiwa masomoni kwa Shahada ya kwanza katika moja ya vyuo vikuu hapa nchini. (Zingatia kuwa alikuwa na sifa zote kwenda masomoni na kwa ufadhili wa Mwajiri wake). Huyu Mtumishi alilalamikia hatua hiyo na baada ya uhakiki mwajiri alijiridhisha pasi na shaka kwamba;

1. Si Mtumishi hewa.
2. Alikuwa na Ruhusa Rasmi ya kwenda Masomoni.

CHANGAMOTO
Kwa kuwa mwajiri alishazuia, kusitisha na kumwondoa kwenye malipo ya mshahara tangu Januari 2017, imekuwa ni vigumu kumrejesha Kazini licha ya juhudi kubwa za ufuatiliaji wa mara kwa mara na kwa muda wote anazoendelea kuchukua kwa Muda wa miaka 7.

sasa! Ikumbukwe kwamba kati ya Julai na Disemba 2021, Ndugu, Jamaa na Marafiki walilazimika kumchangia Fedha za kuweka kambi Ofisi za Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga ili kukwamua shauri lake.

Kwa ujumla alifanikiwa kwa hatua kadhaa maana kamati ya nidhamu ilimuita kwa barua yenye Kumb. Na.SMC/CW/PF.118/6 na kumhoji kwa maneno na kwa Maandishi. Kamati hiyo iliahidi kutoa taarifa yake kwa Mkurugenzi ili nae atoe uamuzi wake kulingana na Taratibu.

OMBI LAKE KWA MAMLAKA HIZI
Anaomba Mamlaka zimsaidie kujua.
A) Mchakato uliotumika kuzuia, kusimamisha na Hatimaye kumwondoa kwenye malipo ya Mshahara January 2017.
B) Majibu ya Kamati ya Nidhamu chini ya Ofisi Mwajiri wake iliyomuita na kumhoji tarehe 11.11.2021 kwa Barua yenye Kumb.Na SMC/CW/PF.118/6
C) Endapo hatua A na B hapo juu hazikuzingatia Kanuni za Utumishi wa Umma, basi aruhusiwe kuendelea kutumikia mkataba wake wa Ajira kama ulivyo na Marekebisho yake.
D) Na iwapo alishaondolewa Kazini, ni haki ajulishwe kwa Barua Rasmi kulingana na Sheria, Taratibu na Kanuni za Kiutumishi.

IKUMBUKWE KUWA
Mheshimiwa Rais Dr. Samia Suluhu Hassan alitoa maelekezo kwa waliokuwa watumishi hewa kurejeshewa sehemu ya iliyokuwa michango yao. Lakini kwa kesi ya Mtumishi huyu imekuwa ni vigumu maana si Mtumishi hewa na hana Barua yoyote inayoelezea hatima ya Mkataba wake vs Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga.

Amejaribu kudai mafao yake PSSSF, Jambo hili nalo limekuwa gumu na kwa ufupi limeshindikana maana hana fao analoweza kuangukia.

TETESI ZILIZOPO KUHUSU UGUMU WA JAMBO HILI
Inasadikika kwamba Afisa Utumishi katika Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga kwa wakati huo Bwana Shaphat Samuel Kaponela, alificha Jalada (Kama siyo kulipoteza kabisa) la Mtumishi huyu na hivyo kwa sasa inakuwa vigumu kwa Watendaji waliopo kufanya Uamuzi Sahihi.

Afisa huyo alichukua Uamuzi huo wa ajabu baada ya kubaini kuwa aliipotosha Mamlaka kufikia maamuzi ya kufaa. Kwa sasa Afisa huyo amehamishwa. Tunazo nyaraka nyingi kuhusiana na shauri hili na tunapanga namna ya kumsaidia huyu mwenzetu ili haki yake ipatikane maana Jambo hili limekuwa ni mateso kwake yeye na familia yake. Amerudi kwao kijijini na anajitafuta kutokea huko. Mamlaka na wadau mbalimbali mvusheni mwenzetu.
Sasa si akafungue kesi mahakamani.
 
Watu wana roho mbaya jamani yaani mtu anafurahia mwenzake kukaa mtaani.na jalada akaficha sjui ndio kulipoteza roho mbaya hii.ndio maana wengine wanakutwagwa na mabalaa sababu ya roho mbaya
Watu wana roho mbaya,jamaa inaonekana anapitia kipindi kigumu sana,
Kama anawafahamu wazee watata wa huko bora awafuate alipe kisasi kwa namna yoyote,vinginevyo hilo jambo litaathiri sana future ya familia yake
 
Inaonesha kuna misuguano ya ndani kwa ndani.

Aende mahakamani, serikali kesi zote za wafanyakazi huwa inashindwa
 
Mtumishi mwenye Mkataba namba Na. SMC/CW/PF.113/3 amefika Ofisini kwetu na ameomba tupaze sauti kwa niaba yake. Hii hapa historia fupi ya malalamiko yake.

Wakati wa zoezi la uhakiki wa Watumishi wa Umma 2016/2017 mwajiri wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga alizuia, kusitisha na Hatimaye kumwondoa kwenye malipo ya mshahara akiwa masomoni kwa Shahada ya kwanza katika moja ya vyuo vikuu hapa nchini. (Zingatia kuwa alikuwa na sifa zote kwenda masomoni na kwa ufadhili wa Mwajiri wake). Huyu Mtumishi alilalamikia hatua hiyo na baada ya uhakiki mwajiri alijiridhisha pasi na shaka kwamba;

1. Si Mtumishi hewa.
2. Alikuwa na Ruhusa Rasmi ya kwenda Masomoni.

CHANGAMOTO
Kwa kuwa mwajiri alishazuia, kusitisha na kumwondoa kwenye malipo ya mshahara tangu Januari 2017, imekuwa ni vigumu kumrejesha Kazini licha ya juhudi kubwa za ufuatiliaji wa mara kwa mara na kwa muda wote anazoendelea kuchukua kwa Muda wa miaka 7.

sasa! Ikumbukwe kwamba kati ya Julai na Disemba 2021, Ndugu, Jamaa na Marafiki walilazimika kumchangia Fedha za kuweka kambi Ofisi za Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga ili kukwamua shauri lake.

Kwa ujumla alifanikiwa kwa hatua kadhaa maana kamati ya nidhamu ilimuita kwa barua yenye Kumb. Na.SMC/CW/PF.118/6 na kumhoji kwa maneno na kwa Maandishi. Kamati hiyo iliahidi kutoa taarifa yake kwa Mkurugenzi ili nae atoe uamuzi wake kulingana na Taratibu.

OMBI LAKE KWA MAMLAKA HIZI
Anaomba Mamlaka zimsaidie kujua.
A) Mchakato uliotumika kuzuia, kusimamisha na Hatimaye kumwondoa kwenye malipo ya Mshahara January 2017.
B) Majibu ya Kamati ya Nidhamu chini ya Ofisi Mwajiri wake iliyomuita na kumhoji tarehe 11.11.2021 kwa Barua yenye Kumb.Na SMC/CW/PF.118/6
C) Endapo hatua A na B hapo juu hazikuzingatia Kanuni za Utumishi wa Umma, basi aruhusiwe kuendelea kutumikia mkataba wake wa Ajira kama ulivyo na Marekebisho yake.
D) Na iwapo alishaondolewa Kazini, ni haki ajulishwe kwa Barua Rasmi kulingana na Sheria, Taratibu na Kanuni za Kiutumishi.

IKUMBUKWE KUWA
Mheshimiwa Rais Dr. Samia Suluhu Hassan alitoa maelekezo kwa waliokuwa watumishi hewa kurejeshewa sehemu ya iliyokuwa michango yao. Lakini kwa kesi ya Mtumishi huyu imekuwa ni vigumu maana si Mtumishi hewa na hana Barua yoyote inayoelezea hatima ya Mkataba wake vs Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga.

Amejaribu kudai mafao yake PSSSF, Jambo hili nalo limekuwa gumu na kwa ufupi limeshindikana maana hana fao analoweza kuangukia.

TETESI ZILIZOPO KUHUSU UGUMU WA JAMBO HILI
Inasadikika kwamba Afisa Utumishi katika Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga kwa wakati huo Bwana Shaphat Samuel Kaponela, alificha Jalada (Kama siyo kulipoteza kabisa) la Mtumishi huyu na hivyo kwa sasa inakuwa vigumu kwa Watendaji waliopo kufanya Uamuzi Sahihi.

Afisa huyo alichukua Uamuzi huo wa ajabu baada ya kubaini kuwa aliipotosha Mamlaka kufikia maamuzi ya kufaa. Kwa sasa Afisa huyo amehamishwa. Tunazo nyaraka nyingi kuhusiana na shauri hili na tunapanga namna ya kumsaidia huyu mwenzetu ili haki yake ipatikane maana Jambo hili limekuwa ni mateso kwake yeye na familia yake. Amerudi kwao kijijini na anajitafuta kutokea huko. Mamlaka na wadau mbalimbali mvusheni mwenzetu.


My country Men, ubaya uliozidi vipimo
 
Tumeona nyaraka kwenda kwa RC/RAS ambazo nazo hazikuzaa matunda. Hiyo ya DSO/RSO, DC na TAKUKURU ni ushauri mzuri. Kwa ujumla tunakusanya maoni ili tukianza kuchukua hatua tusambaze taarifa kotekote ndio maana tunapaza sauti. Asante sana Boss
Aende kwa katibu mkuu utumishi, nimeona clip mitandaoni Arusha , Makonda anamsaidia mama mmoja alikuwa na tatizo kama hili akaenda kwa katibu mkuu utumishi, alifika mpaka ikulu. Wiki hii analipwa hela yake huko Arusha.
 
Aende kwa katibu mkuu utumishi, nimeona clip mitandaoni Arusha , Makonda anamsaidia mama mmoja alikuwa na tatizo kama hili akaenda kwa katibu mkuu utumishi, alifika mpaka ikulu. Wiki hii analipwa hela yake huko Arusha.
Asante sana kwa mchango wako wa kiutu kabisa.
 
Mtu anayefukuzwa kazi serikalini ujue amevumiliwa Kwa zaidi ya miaka hata miwili.

Hadi utinuliwe serikalini.... Umehojiwa sana na umetetewa sana lakini hubebeki.

Huyo huenda aliitwa kuja kuhakikiwa akazingua kwenda au alienda masomoni na kuunga mkataba private sector huko akajiona mjanja.

Watumishi wa serikali ukiwa na kosa unapaswa uwe mpole, Waite Kila mtu mkuu, boss, afisa na jitoe ufaham hata ulie. Mapema tu unasamehewa.

Uwapo kazini usitombe Dem wa boss Wala kumzoea, usiwe mshauri wa utawala, pokea mikoba ya wakubwa na muda wote wasifie viongozi wako kuwa wao ndiyo wameweka tasisi yenu kwenye mafanikio ya Sasa.

Utasitaafu Kwa amani.
 
Mtu anayefukuzwa kazi serikalini ujue amevumiliwa Kwa zaidi ya miaka hata miwili.

Hadi utinuliwe serikalini.... Umehojiwa sana na umetetewa sana lakini hubebeki.

Huyo huenda aliitwa kuja kuhakikiwa akazingua kwenda au alienda masomoni na kuunga mkataba private sector huko akajiona mjanja.

Watumishi wa serikali ukiwa na kosa unapaswa uwe mpole, Waite Kila mtu mkuu, boss, afisa na jitoe ufaham hata ulie. Mapema tu unasamehewa.

Uwapo kazini usitombe Dem wa boss Wala kumzoea, usiwe mshauri wa utawala, pokea mikoba ya wakubwa na muda wote wasifie viongozi wako kuwa wao ndiyo wameweka tasisi yenu kwenye mafanikio ya Sasa.

Utasitaafu Kwa amani.
Rudia kusoma bandiko letu hapo juu. Soma kwa kutulia. Tatizo lilianza walipozuia na kumtoa kwenye malipo ya mshahara bila kufuata taratibu. Walipomhoji na kujiridhisha na kubaini ukweli imekuwa vigumu kumrudishia haki zake. Bahati mbaya barua aliyonayo ni moja tu ya kuitwa kwenye kamati ya Maadili 2021. Na kwa utaratibu ilitakiwa Mwajiri awe ametoa maamuzi yake kulingana na findings za kamati!
 
Hii hali ilimkuta kaka yangu. Alikuwa ni mtumishi H/W ya Kilosa, kada ya Ualimu, alienda kujiendeleza 2016 wakati huo akiwa na Diploma, kilichomkuta mpaka leo anajuta. Kadhia zao zinafanana 100% ila yy amekuwa kwenda kulima baada ya kugundua anapoteza muda. Hii n true story
Chama Cha Walimu hakijatoa msaada?
 
Natafuta sheria inayosimamia hivi vyama vya wafanyakazi hasa inasemaje kuhusu makato na namna ya kujitoa
Hakuna sheria inayombana mtumishi wa umma kuwa mwanachama wa chama cho chote cha wafanyakazi, kinachofanywa na viongozi wa vyama hivyo ni kuwasajili haraka pale watumishi wanapoajiriwa wakiwa bado hawajui kitu kuhusu utumishi na pia wakiwa bado na mawenge ya kupata ajira.

Lakini pia viongozi wa vyama vya wafanyakazi huchukua check number za watumishi wapya na kuzipeleka uhasibu, kwa hiyo mtumishi anaanza kukatwa ada ya kila mwezi kabla hajajiunga na chama chenyewe. Watumishi wapya wakati wote wanaogopa kuhoji kwa kuhofia ajira zao au vitisho vya viongozi.

Kwa hiyo kujiondoa ni kuandika barua kwa mwajiri wako na kusimamia utekelezaji wa barua yako uhasibu. Waajiri wengi hawavipendi hivi vyama vya wafanyakazi hivyo hufurahi sana watumishi wanapojitoa.

Sasa hivi waalimu wameanza kujitoa katika chama cha CWT na wengine wanajiunga na chama kipya kilichoanzishwa hivi karibuni.
 
Hakuna sheria inayombana mtumishi wa umma kuwa mwanachama wa chama cho chote cha wafanyakazi, kinachofanywa na viongozi wa vyama hivyo ni kuwasajili haraka pale watumishi wanapoajiriwa wakiwa bado hawajui kitu kuhusu utumishi na pia wakiwa bado na mawenge ya kupata ajira.

Lakini pia viongozi wa vyama vya wafanyakazi huchukua check number za watumishi wapya na kuzipeleka uhasibu, kwa hiyo mtumishi anaanza kukatwa ada ya kila mwezi kabla hajajiunga na chama chenyewe. Watumishi wapya wakati wote wanaogopa kuhoji kwa kuhofia ajira zao au vitisho vya viongozi.

Kwa hiyo kujiondoa ni kuandika barua kwa mwajiri wako na kusimamia utekelezaji wa barua yako uhasibu. Waajiri wengi hawavipendi hivi vyama vya wafanyakazi hivyo hufurahi sana watumishi wanapojitoa.

Sasa hivi waalimu wameanza kujitoa katika chama cha CWT na wengine wanajiunga na chama kipya kilichoanzishwa hivi karibuni.
Wakishindwa kukusaidia, Kuna utaratibu wa kudai Cha kwako?
 
Back
Top Bottom