Ofisi ya Rais wa Burundi yaleta gumzo mtandaoni

Ofisi ya Rais wa Burundi yaleta gumzo mtandaoni

dr namugari

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
10,466
Reaction score
18,206
Ktk hali ya kustaajabisha juz waziri mkuu wa zamni wa Kenya ndugu Raila omong Odinga alikwenda nchini Burundi kuomba uungwaji mkono kwa rais wa Burundi kweny kinyanganyiro cha mwenyekiti wa umoja wa Africa

Basi bhna picha zilipigwa na odingi akiwa ktk moja ya ofisi ya Rais wa Burundi kitendo kilicho wafanya wadau wengi kuhoji ukubwa wa umasikini wa nch ya Burundi ulivyo, wakenya wengi waliibeza sana hyo ofisi hadi na nguo za rais Evarest Ndaiashimie alizozifaa kuwa anaonekana kama dalali wa tyer mbovu huko Nairobi

Wakenya wana dharau sna anajiona sna kuwa ni taifa lenye uchumi mkubwa hapa Africa na wao wanifananisha jiji la Nairobi kama ney York
Sijapenda jinsi walivyo mdharau rais wa Burundi
Picha naweka
 

Attachments

  • IMG_20250213_164925.jpg
    IMG_20250213_164925.jpg
    76.1 KB · Views: 4
  • IMG_20250213_164935.jpg
    IMG_20250213_164935.jpg
    71.7 KB · Views: 5
  • IMG_20250213_164931.jpg
    IMG_20250213_164931.jpg
    59.9 KB · Views: 4
  • Screenshot_20250213-165029.png
    Screenshot_20250213-165029.png
    587.3 KB · Views: 4
  • Screenshot_20250213-165011.png
    Screenshot_20250213-165011.png
    538.3 KB · Views: 4
  • Screenshot_20250213-165041.png
    Screenshot_20250213-165041.png
    532.1 KB · Views: 3
  • Screenshot_20250213-165056.png
    Screenshot_20250213-165056.png
    675.6 KB · Views: 3
Ktk hali ya kustaajabisha juz waziri mkuu wa zamni wa Kenya ndugu Raila omong Odinga alikwenda nchini Burundi kuomba uungwaji mkono kwa rais wa Burundi kweny kinyanganyiro cha mwenyekiti wa umoja wa Africa

Basi bhna picha zilipigwa na odingi akiwa ktk moja ya ofisi ya Rais wa Burundi kitendo kilicho wafanya wadau wengi kuhoji ukubwa wa umasikini wa nch ya Burundi ulivyo, wakenya wengi waliibeza sna hyo ofisi hadi na nguo rather rais Evarest Ndaiashimie alizozifaa kuwa anaonekana kama dalali wa tyer mbovu huko Nairobi

Wakenya wana dharau sna anajiona sna kuwa ni taifa lenye uchumi mkubwa hapa Africa na wao wanifananisha jiji la Nairobi kama ney York
Sijapenda jinsi walivyo mdharau rais wa Burundi
Picha naweka
Waafrika tumepigwa stroke ya akili. Wakinunua furniture za gharama tunasema ni ufisadi. Wakiamua kuwa simple kuendana na hali ya uchumi bado washambuliwe. Hata hatujui tunataka nini. Ruto wanyooshe hao na wewe jiagize jet ya rais.
 
Mavazi si tatizo, hata suti kali anazo. Kwani hamjamuona Zelensky wa Ukraine anavyovaa simple toka vita ianze?
Hata hivyo Burundi si kama Kenya!
 
Waafrika tumepigwa stroke ya akili. Wakinunua furniture za gharama tunasema ni ufisadi. Wakiamua kuwa simple kuendana na hali ya uchumi bado washambuliwe. Hata hatujui tunataka nini. Ruto wanyooshe hao na wewe jiagize jet ya rais.
Umenena Mkuu, hao ni aina ile ya watu wanaokula nyama siku wakija wageni
 
Back
Top Bottom