shamariwa chool
JF-Expert Member
- Dec 14, 2024
- 265
- 248
Itakua alitokea site siumeona na boot katinga💪 wakenya walitaka apake wanja nakuchonga nyusii😂😂Ndio yeye hata makwapani anatoa jasho ukimuangalia vzr
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakua alitokea site siumeona na boot katinga💪 wakenya walitaka apake wanja nakuchonga nyusii😂😂Ndio yeye hata makwapani anatoa jasho ukimuangalia vzr
Ndo hata mimi nimeshangaa, ina maana ikulu yao imekosa 5,000 ya kumnunulia Rais deodorant ya nivea ya black n white?Ndio yeye hata makwapani anatoa jasho ukimuangalia vzr
mweusi ni mweusikuanzia kwenye roho hadi akiliWaafrika tumepigwa stroke ya akili. Wakinunua furniture za gharama tunasema ni ufisadi. Wakiamua kuwa simple kuendana na hali ya uchumi bado washambuliwe. Hata hatujui tunataka nini. Ruto wanyooshe hao na wewe jiagize jet ya rais.
Hakika mkuu !Waafrika tumepigwa stroke ya akili. Wakinunua furniture za gharama tunasema ni ufisadi. Wakiamua kuwa simple kuendana na hali ya uchumi bado washambuliwe. Hata hatujui tunataka nini. Ruto wanyooshe hao na wewe jiagize jet ya rais.