Ofisi ya Taifa ya usalama Serikalini

Ofisi ya Taifa ya usalama Serikalini

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Hii nchi kumbe ina ofisi nyingi namna hii na hamsemi leo ndo nimejua kama kuna hii ofisi ya usalama Serikalini ambayo wajibu wake ni kutoa elimu kuhusu kanuni za usalama Serikalini kwa watumishi wa ngazi zote. Hii ni tofauti na taasisi ya TISS ambayo iko chini ya ofisi ya Rais wao nadhani wako chini ya wizara inayohusika na mambo ya utumishi.
 
Hii nchi kumbe ina ofisi nyingi namna hii na hamsemi leo ndo nimejua kama kuna hii ofisi ya usalama serikalini ambayo wajibu wake ni kutoa elimu kuhusu kanuni za usalama serikalini kwa watumishi wa ngazi zote.
Na kuna watumishi huwa wanalipwa mishahara hapo, hata kama hawajulikani kuwa wapo na kazi wanayofanya haionekani!
 
Nenda pale jirani na ofisi za TFNC jirani na Ocean Road Hospital ugonge pale uulizie majukumu yao!!! Nchi hii iko imara kila sekta
Sasa kivipi madini yameibwa kwa miaka 20? Kivipi Tanzanite inapitishwa chini ya ukuta? Kivipi CCM mafisadi wapo madarakani kama kweli usalama wapo?

Hawana lolote ni kelele tu otherwise hata kifo cha JPM kisingevuja kirahisi vile.
 
Back
Top Bottom