ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Hii nchi kumbe ina ofisi nyingi namna hii na hamsemi leo ndo nimejua kama kuna hii ofisi ya usalama Serikalini ambayo wajibu wake ni kutoa elimu kuhusu kanuni za usalama Serikalini kwa watumishi wa ngazi zote. Hii ni tofauti na taasisi ya TISS ambayo iko chini ya ofisi ya Rais wao nadhani wako chini ya wizara inayohusika na mambo ya utumishi.