Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Inasemekana? Ofisi rasmi za kitengo hazijulikani zilipo kama zile za Langley?!
Inasemekana Hapo ni HQ za kitengo mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasemekana Hapo ni HQ za kitengo mkuu
Nyingine inaitwa national institute of productivity yaan upuuz mtupu
Ya Serikali ukifika wanasoma magazeti siku nzimaHii ya nini?! Ni ya serikali?
Na hakuna mtejaYa serikali ukifika wanasoma magazeti siku nzima
Heri yako. Huku Kanda ya Ziwa kwenye moja ya Makao Makuu ya Wilaya kuna jamaa mmoja alikuwa anafanya kazi "part time" jengo lililokuwa na Ofisi nyingi za Serikali. Basi siku moja akajiuliza kwanini mlango wa ofisi ya jirani umeandikwa "MLANGO HUU HAUTUMIKI" lakini bado kuna watu wanaingia na kutoka? Akaona na yeye aingie huo mlango aone kuna nini! Alirudi baada ya siku tatu!!!!! Ahahahahah!!! Na kila wenzake wakimuuliza alikuwa wapi, hasemi! Ahahahahah!!!!Nilikuwa nacheza basket enzi zangu gymkhana nikagonga pale kuomba maji ya kunywa nikapewa juice
Aliliwa tako nnHeri yako. Huku Kanda ya Ziwa kwenye moja ya Makao Makuu ya Wilaya kuna jamaa mmoja alikuwa anafanya kazi "part time" jengo lililokuwa na Ofisi nyingi za Serikali. Basi siku moja akajiuliza kwanini mlango wa ofisi ya jirani umeandikwa "MLANGO HUU HAUTUMIKI" lakini bado kuna watu wanaingia na kutoka? Akaona na yeye aingie huo mlango aone kuna nini! Alirudi baada ya siku tatu!!!!! Ahahahahah!!! Na kila wenzake wakimuuliza alikuwa wapi, hasemi! Ahahahahah!!!!
Siku moja akamsikia mwenzake ofisini anasema ngoja akaone kwanini mlango umeandikwa hautumiki lakini kuna watu wanaingia na kutoka. Yule jamaa wa mwanzo akamrukia na kumshika mkono akimwambia, "Usiende! Usiende! Ahahahahah! Alipoulizwa kwanini asiende, aliendeea kusisitiza! "Usiende! Usiende"! Ahahahahah!!!
Kwa kimatumbi haziitwi ofisi, bali zinaitwa "safe houses".Inasemekana? Ofisi rasmi za kitengo hazijulikani zilipo kama zile za Langley?!
We jamaa hizo ahahaaa unazipangilia kama dua.Heri yako. Huku Kanda ya Ziwa kwenye moja ya Makao Makuu ya Wilaya kuna jamaa mmoja alikuwa anafanya kazi "part time" jengo lililokuwa na Ofisi nyingi za Serikali. Basi siku moja akajiuliza kwanini mlango wa ofisi ya jirani umeandikwa "MLANGO HUU HAUTUMIKI" lakini bado kuna watu wanaingia na kutoka? Akaona na yeye aingie huo mlango aone kuna nini! Alirudi baada ya siku tatu!!!!! Ahahahahah!!! Na kila wenzake wakimuuliza alikuwa wapi, hasemi! Ahahahahah!!!!
Siku moja akamsikia mwenzake ofisini anasema ngoja akaone kwanini mlango umeandikwa hautumiki lakini kuna watu wanaingia na kutoka. Yule jamaa wa mwanzo akamrukia na kumshika mkono akimwambia, "Usiende! Usiende! Ahahahahah! Alipoulizwa kwanini asiende, aliendeea kusisitiza! "Usiende! Usiende"! Ahahahahah!!!
Ahahahahah!!!We jamaa hizo ahahaaa unazipangilia kama dua.
Ya serikali ukifika wanasoma magazeti siku nzima
Mkuu hii ni tofauti na ya TISS. Hii ni taasisi nyingine kabisa nadhani iko chini ya wizara ya utumishiMada pendwa JF
Wengine tuliyoishi karibu na ngano Street ndomana tunaona haya mambo
Ya kawaida tu
Ova
Kumbe Serikali ina ofisi nyingiMkuu hii ni tofauti na ya TISS.hii ni taasisi nyingine kabisa nadhani iko chini ya wizara ya utumishi
Hii chai umesahau kuweka Mdalasini! Ahahahahah!!!kwa kimatumbi haziitwi ofisi, bali zinaitwa "safe houses".
nchi yoyote ambayo ina ofisi za ubalozi wa marekani, basi ujue ina safe houses nyingi za CIA.
hata hapa kwetu bongoland zipo safe house za CIA, ila inahitaji knowledge kubwa sana ya kimedani kuweza kuzibaini.
Mwili mkubwa akili kisoda. Haya baki hivyohivyo ukidhani ni chai.Hii chai umesahau kiweka Mdalasini! Ahahahahah!!!
Kuna ofisi za siri na ofisi za wazi.kwa mfano wa zilizopo wilayani nyingi ni za siri lakini kwa dodoma na dsm ni ofisi za wazi hata wewe upo free kufika kuwasilisha taarifa/issues anytime
Hujanielewa. Ofisi za wilayani ni confidential i.e no trespassing tofauti na Dodoma au DSMKwa hiyo nikiwa wilayani Tandahimba nipeleke Dar/Ddm badala ya zile za Tandahimba Wilayani (Za Siri)
Hicho ni kitengo ndani ya TISS, ni usalama wa taifaKivipi?hii sio TISS ni tofauti na usalama wa taifa..yenyewe hio ni usalama serikalini