Ofisi ya VODACOM tawi la Moshi wana dharau

Ofisi ya VODACOM tawi la Moshi wana dharau

Siku ukienda NIDA ndio utapata stroke kabisaaaa, ogopa mbongo akiwa kwenye nafasi yake we pishana nao tu bara barani wamevaa skafu zao na mashati ya kuchomekea ,hata konda kwenye dala dala anakuvimbia, ofisi ya kata wanakuvimbia,sijui Tanesco wanakuvimbia,sijui konda wa basi anakuvimbia, nesi hospitali ndio mamaaa
 
Juzi kati nilienda kuwataarifu kuhusu tatizo kwenye lain yangu. Cha ajabu meneja wakati natoa maelezo kuhusiana na la laini yangu Kama dakika moja hivi ghafla anapokea sim anaongea na msela wake na kunipotezea bila hata excuse yoyote..ni kwanini watu wanakuwa hivi?..Ni viburi vya nafasi au vipi?
Kwani umefunga ndoa na Vidacom?
 
Juzi kati nilienda kuwataarifu kuhusu tatizo kwenye lain yangu. Cha ajabu meneja wakati natoa maelezo kuhusiana na la laini yangu Kama dakika moja hivi ghafla anapokea sim anaongea na msela wake na kunipotezea bila hata excuse yoyote..ni kwanini watu wanakuwa hivi?..Ni viburi vya nafasi au vipi?
Au alikuona wewe ni kama wale hamnazo nini?
 
Juzi kati nilienda kuwataarifu kuhusu tatizo kwenye lain yangu. Cha ajabu meneja wakati natoa maelezo kuhusiana na la laini yangu Kama dakika moja hivi ghafla anapokea sim anaongea na msela wake na kunipotezea bila hata excuse yoyote..ni kwanini watu wanakuwa hivi?..Ni viburi vya nafasi au vipi?
Unapaswa kurecord, huwezi saidiwa kama huna ushahidi
 
Juzi kati nilienda kuwataarifu kuhusu tatizo kwenye lain yangu. Cha ajabu meneja wakati natoa maelezo kuhusiana na la laini yangu Kama dakika moja hivi ghafla anapokea sim anaongea na msela wake na kunipotezea bila hata excuse yoyote..ni kwanini watu wanakuwa hivi?..Ni viburi vya nafasi au vipi?
Huu niutamaduni wa kitanzania. Hawajali wateja. Hata huko dukani unakuta mtu anakuhudumia huku anaongea na simu. Wewe anakupa ishara tu.
 
Iliwahi kunitokea kwenye Taasisi moja ya pruvate,nikamrecord yule Mdada bila yeye kujua,then baadae nikatafuta number yake nikamtumia crip,Kbla sijairusha kwa wakubwa. zake, alikuja kwangu anatembelea magoti akiomba msamaha. Sema alishanisababishia hasara na nikamwambia ni too late, alipigwa chini faster.
 
Siku ukienda NIDA ndio utapata stroke kabisaaaa, ogopa mbongo akiwa kwenye nafasi yake we pishana nao tu bara barani wamevaa skafu zao na mashati ya kuchomekea ,hata konda kwenye dala dala anakuvimbia, ofisi ya kata wanakuvimbia,sijui Tanesco wanakuvimbia,sijui konda wa basi anakuvimbia, nesi hospitali ndio mamaaa
Halafu wakipigwa spana kuna wavimba macho wanawatetea.
 
Juzi kati nilienda kuwataarifu kuhusu tatizo kwenye lain yangu. Cha ajabu meneja wakati natoa maelezo kuhusiana na la laini yangu Kama dakika moja hivi ghafla anapokea sim anaongea na msela wake na kunipotezea bila hata excuse yoyote..ni kwanini watu wanakuwa hivi?..Ni viburi vya nafasi au vipi?
Wapo wengi Sana hao bro! Kizazi hiki,kichwani ni zero, kuanzia shule mpaka kwenye kazi, hapo kuanzia shule, unakutq alipita kwa kuuza Mambo, katika chuo,hivyo hivyo, kupata kazi, hivyo hivyo,
Nilimkuta mmoja, pale shabiby Dodoma, nikasalimia, akajibu, huku anaendelea kuchart, wala haniangalii usoni, akanipa tiketi, uso upo chini! Hata, angekuwa, robot, angeonyesha kujali uwepo,
 
Back
Top Bottom