Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali ina Ofisi 17 ambazo zimefunguliwa kwenye mikoa yote yenye masijala za Mahakama Kuu

Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali ina Ofisi 17 ambazo zimefunguliwa kwenye mikoa yote yenye masijala za Mahakama Kuu

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Ili kufikia azma ya kupanua wigo wa utendaji wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali na kuongeza ukaribu katika kuhudumia wananchi, Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali ina Ofisi 17 ambazo zimefunguliwa kwenye mikoa yote yenye masjala za Mahakama Kuu ikiwemo Mkoa wa Dar es Salaam pamoja na kwenye mikoa ya Dodoma; Mtwara; Iringa; Ruvuma; Tanga; Kilimanjaro; Arusha; Kigoma; Mara; Mwanza; Kagera; Shinyanga; Tabora; Rukwa; Mbeya; na Morogoro.

Screenshot_20220819-051850.png

Dkt. Boniphace Luhende, Naibu Wakili Mkuu wa Serikali
 
Wakili Mkuu vs Mwanasheria mkuu vs Jaji mkuu vs Jaji mkuu Kiongozi

Tunaomba kujua tofauti ya hao mkuu..
 
Kwa hiyo kuna, Majaji, Mahakimu, Mawakili, Waendesha Mashtaka, Wapelelezi, Police ...Wote wanakula kodi zetu na bado nchi haina haki.
 
Bora hata hizo ofisi zote zingefungwa tu Hali ya utoaji haki imezidi kuwa mbaya kuliko wakati mwingine wowote kwa Sasa mtu mwenye uwezo anaweza kukutengenezea kesi yoyote hata ya mauaji na huna pa kwenda mlundikano wa mahabusu kwa kesi za uonevu tu ni hatari kubwa utoaji dhamana kwa kesi hata zile ndogo ni shida kubwa rushwa imetamalaki kiasi cha kutisha Polisi Mahakamani na Magereza hivyo Hawa wote waondoke tu Jaji Mkuu amefeli Mwanasheria Mkuu wa Serikali amefeli DPP amefeli Waziri wa Mambo ya Ndani amefeli na system nzima imefeli.
 
Back
Top Bottom