johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Sioni kama ana cha kupoteza kwa kuletewa huyo msaidizi.Kiufupi Majaliwa ameMbiwa kuwa uwezo wako mdogo na ujiandae kisaikolojiaβ¦.ndani ya miaka mitano Biteko atakuwa waziri mkuu!
Biteko ni tambala lililoonekana linaweza kutumika kwa faida ya mkalia kiti 'full stop ! Nothing more relevant is expected to yield with positive impact unless someone in the office surrenders to quit it for safety grounds, this is a blindly calculated strategy which eventuality is remorseful regret'.Kimuundo Ofisi ya Waziri Mkuu imesheheni Mawaziri wa kutosha yupo PM mwenyewe, Ndalichako na Mhagama wakisaidiwa na Mawaziri wadogo akina Katambi
Sasa sijaielewa kama Nishati itakuwa chini ya PM au Naibu Waziri mkuu atakuwa Nishati
Kuna wakati Hayati Mkapa aliombwa na CCM amfanye Magufuli awe Naibu Waziri mkuu ili apambane na Matumizi mabaya ya fedha za Umma kwenye Wizara zote Lakini mzee wa Lupaso alisita
Ngoja nijifunze zaidi Kwanini Biteko na Siyo Prof Kabudi au Lukuvi ?
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Yani tayari mmekwisha iba kura hata kabla ya uchaguzi?? Kwanini unabii usitolewe muda mfupi kabla ya matokeo?Kiufupi Majaliwa ameMbiwa kuwa uwezo wako mdogo na ujiandae kisaikolojiaβ¦.ndani ya miaka mitano Biteko atakuwa waziri mkuu!
Pia tuliambiwa Lukuvi na Kabudi ni wasimamizi wa mawaziriKimuundo Ofisi ya Waziri Mkuu imesheheni Mawaziri wa kutosha yupo PM mwenyewe, Ndalichako na Mhagama wakisaidiwa na Mawaziri wadogo akina Katambi.
Sasa sijaielewa kama Nishati itakuwa chini ya PM au Naibu Waziri mkuu atakuwa Nishati.
Kuna wakati Hayati Mkapa aliombwa na CCM amfanye Magufuli awe Naibu Waziri mkuu ili apambane na Matumizi mabaya ya fedha za Umma kwenye Wizara zote Lakini mzee wa Lupaso alisita.
Ngoja nijifunze zaidi Kwanini Biteko na Siyo Prof. Kabudi au Lukuvi?
Mungu wa mbinguni awabariki sana.
Upo sahihi sn ni matumizi mabaya tu ya fedha za ummaBiteko ni tambala lililoonekana linaweza kutumika kwa faida ya mkalia kiti 'full stop ! Nothing more relevant is expected to yield with positive impact unless someone in the office surrenders to quit it for safety grounds, this is a blindly calculated strategy which eventuality is remorseful regret'.
Biteko ana jipya gani?Kiufupi Majaliwa ameMbiwa kuwa uwezo wako mdogo na ujiandae kisaikolojiaβ¦.ndani ya miaka mitano Biteko atakuwa waziri mkuu!
πππππππππBiteko ni tambala lililoonekana linaweza kutumika kwa faida ya mkalia kiti 'full stop ! Nothing more relevant is expected to yield with positive impact unless someone in the office surrenders to quit it for safety grounds, this is a blindly calculated strategy which eventuality is remorseful regret'.
Utaliona muda si mrefu!Biteko ana jipya gani?
Hakuna loloteUtaliona muda si mrefu!
Rais ana makamu, Mawaziri Wana manaibu ,Kwa nini Waziri Mkuu asiwe na Naibu?Kimuundo Ofisi ya Waziri Mkuu imesheheni Mawaziri wa kutosha yupo PM mwenyewe, Ndalichako na Mhagama wakisaidiwa na Mawaziri wadogo akina Katambi.
Sasa sijaielewa kama Nishati itakuwa chini ya PM au Naibu Waziri mkuu atakuwa Nishati.
Kuna wakati Hayati Mkapa aliombwa na CCM amfanye Magufuli awe Naibu Waziri mkuu ili apambane na Matumizi mabaya ya fedha za Umma kwenye Wizara zote Lakini mzee wa Lupaso alisita.
Ngoja nijifunze zaidi Kwanini Biteko na Siyo Prof. Kabudi au Lukuvi?
Mungu wa mbinguni awabariki sana.
Si kodi zetu zinatapanywaKimuundo Ofisi ya Waziri Mkuu imesheheni Mawaziri wa kutosha yupo PM mwenyewe, Ndalichako na Mhagama wakisaidiwa na Mawaziri wadogo akina Katambi.
Sasa sijaielewa kama Nishati itakuwa chini ya PM au Naibu Waziri mkuu atakuwa Nishati.
Kuna wakati Hayati Mkapa aliombwa na CCM amfanye Magufuli awe Naibu Waziri mkuu ili apambane na Matumizi mabaya ya fedha za Umma kwenye Wizara zote Lakini mzee wa Lupaso alisita.
Ngoja nijifunze zaidi Kwanini Biteko na Siyo Prof. Kabudi au Lukuvi?
Mungu wa mbinguni awabariki sana.