johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kimuundo Ofisi ya Waziri Mkuu imesheheni Mawaziri wa kutosha yupo PM mwenyewe, Ndalichako na Mhagama wakisaidiwa na Mawaziri wadogo akina Katambi.
Sasa sijaielewa kama Nishati itakuwa chini ya PM au Naibu Waziri mkuu atakuwa Nishati.
Kuna wakati Hayati Mkapa aliombwa na CCM amfanye Magufuli awe Naibu Waziri mkuu ili apambane na Matumizi mabaya ya fedha za Umma kwenye Wizara zote Lakini mzee wa Lupaso alisita.
Ngoja nijifunze zaidi Kwanini Biteko na Siyo Prof. Kabudi au Lukuvi?
Mungu wa mbinguni awabariki sana.
Sasa sijaielewa kama Nishati itakuwa chini ya PM au Naibu Waziri mkuu atakuwa Nishati.
Kuna wakati Hayati Mkapa aliombwa na CCM amfanye Magufuli awe Naibu Waziri mkuu ili apambane na Matumizi mabaya ya fedha za Umma kwenye Wizara zote Lakini mzee wa Lupaso alisita.
Ngoja nijifunze zaidi Kwanini Biteko na Siyo Prof. Kabudi au Lukuvi?
Mungu wa mbinguni awabariki sana.