TRA Tanzania
Senior Member
- Jul 16, 2022
- 128
- 370
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante kwa ushauri tumepokea na tumeshaanza ufanyia kazi ushauri huuSasa Huduma Zinazoendelea Hapo
Nawashauri Watoe Lunches Kuwamasisha Watu Wengi Wafike
JF Kampuni Zote Zilizokuja Hapa KwaAjili Ya Huduma Ya Elimu Kwa Umma
Tanesco Ndiyo Niliona Walikuwa Active Na Wanajari Muda Bila Kuangalia Wameulizwa Swali, Ngani Ama Ushauri Gani Wananchi Wangependa Iwe
TRA Ni Nafasi Yenu Sasa Toeni Ufafanuzi Wowote Mtakaoulizwa Bila Jazba
Kumbukeni Hapa Kuna Watu Wote Wanaijua Hata
Ni kweli huu utaratibu wa kurejeshewa mashine ya EFD ya kwanza upo.Unachotakiwa uandike barua kwetu kwenda Mkoa ambao unalipia au utalipia kodi ili uweze rejeshewa kwa mtindo wa kutolipa kodi kufidia.Tunakushauri pia kwa kuwa kesho pia tupo wazi unaweza fika Mkoa wa Kodi husika na kuonana na Maofisa wetu wakusaidie na pia wapo maofisa Elimu na Mawasiliano kila mkoa tukusaidie kukuhudumia.Kuna biashara nimeianzisha..process za kupata lesen ni kama zimebadilika...nikaona isiwe tabu nikalipia machine ya EFD...cash taslim 580,000 sawa hapa nikaambiwa nitakuwa refunded kutokana na estimations nilizofanyiwa..:sasa nafata machine week ya pil hii naambiwa mpaka lesen nikawaambia ndio nipo kwenye mchakato...hapa kama sio mfumo wa halmashaur kubadilika ningekuwa nishamalizana nao...kuna mahusiano gan katika hili kama kuna baadhi ya zile mashine kubwa waliniambia niwalipe afu watahitaji tin number tuu...kuna kipato nakikosa na kuna kipato kinapotea kwa serikali...ufafanuz kidogo tuu
Huwa nawachukia TRA ila naona wameanza nivutia kwa mwendo huu leo ngoja niwale hongeraHongereni TRA
Kumekuwepo na changamoto kwenye mitandao ya simu kutumiwa na watu wasio wema kuwaibia wananchi.Iwapo utapata taarifa kuhusiana na kudaiwa kodi na ukiwa unawasiwasi na taarifa hiyo tafadhali wasiliana nasi kwa 0800780078, 0700750075, 0800110016 namba za bure au chati nasi kwa whatsapp 0744233333.Tafadhali utilise kodi kwenye akaunti ambayo siyo akaunti ya TRAMimi nimetumiwa sms ya kudaiwa kodi, na kodi nilishalipa tangu mwanzo wa mwaka, ni kawaida huwa nalipa full mwaka mzima, kuna namba za simu wameziweka kwenye hiyo sms kwamba niwasiliane nazo kama kuna maelezo, hizo namba zinaonyesha zipo diverted na huko hazipatikani.
1. Mmefanya vyema kutoa taarifa kwa umma mapema.Ofisi za TRA zitakuwa wazi siku yavtarehe 30 na 31 Desemba ,2023 ili kuweza kuwahudumia wananchi na walipa kodi
Mbona kimya mjibuni.MAMA alitoa msamaha kwa wafanya biashara walio na madeni ya zaidi ya miaka 5, lakini wakienda TRA kwa ajili ya kuendeleza biashara zao waendelee kulipa kodi wanakutana na deni na wanatakiwa walipe tena, wakati huyu mtu alipotea miaka yote hiyo shauri ya kushindwa kulipa madeni. Sasa hamuoni kama mnakwenda kinyume na maelekezo ya MAMA?
Watoe majibu, wana nchi wanalia wanataka kufunga tena biashara sababu ya madeni ya zamani, mtu alishindwa kulipa deni akafunga biashara akapotea, amepata matumaini ya kuanza upya kutokana na agizo la MAMA, kwamba madeni zaidi ya miaka 5 asamehewe aanze upya. Waziri mkuu nae akasema hivyo hivyo, lakini TRA wanaendelea kudai kwa kusema hawana taarifa rasmi.Mbona kimya mjibuni.