Ofisi za mamlaka ya mapato Tanzania (TRA ) kuwa wazi tarehe 30 NA 31 December, 2023

Ofisi za mamlaka ya mapato Tanzania (TRA ) kuwa wazi tarehe 30 NA 31 December, 2023

Watoe majibu, wana nchi wanalia wanataka kufunga tena biashara sababu ya madeni ya zamani, mtu alishindwa kulipa deni akafunga biashara akapotea, amepata matumaini ya kuanza upya kutokana na agizo la MAMA, kwamba madeni zaidi ya miaka 5 asamehewe aanze upya. Waziri mkuu nae akasema hivyo hivyo, lakini TRA wanaendelea kudai kwa kusema hawana taarifa rasmi.

Je? Agizo la Raisi na Waziri Mkuu linahitaji URASIMI gani TRA?
dawa ya deni ni kulipa sasa wewe unataka uwe unakimbia kusubiri Mh Raisi aseme usilipe hatuendi hivo , wewe lipa ili tupate maendeleo au unaona raha sisi wengine tunalipa wewe unakwepa. Mimi nadhani ifike mahali sasa kila mtu awajibike sehemu yake ,serikali iwe wakali ili kodi ikusanywe na sisi tulipoe kodi ili tuibane serikali maendeleo.sasa kama hatutaki lipa halafu tulalamika maendeleo hakuna hii itakuwa siyo sawa.
 
Back
Top Bottom