Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilitaka niulize hili swali mkuu umeniwai tusubiri jibu nimeziona ofisi zao ni nzuri tuWewe acha umbea, ofisi ya Prof gani pale udsm ni mbaya?kwanza hakuna Prof anaeshea office na mtu pale.
Kwa Nini wanafanya hivyo?Ni mgomo au?Wewe unasema UDSM, UDOM wanapaka ukuta mavi baadhi ya wanafunzi, hawa si ndio ma professor wa siku za usoni
Sio mgomo, sababu sijui, labda matatizo ya akili, juzi nilikuwa hapo UDOM na manzi yangu naye anasema vyoo hata vya wanawake ni vichafu.Kwa Nini wanafanya hivyo?Ni mgomo au?
Wewe unasema UDSM, UDOM wanapaka ukuta mavi baadhi ya wanafunzi, hawa si ndio ma professor wa siku za usoni
Mbona watoza ushuru wanaofisi nzuri sana.Hivi wewe umewahi kuingia ofisi za wakusanya ushuru huku wilayani, utadhani wao sio wakusanya ushuru hata pazia hawana.
Unashangaa Prof kukosa Ofisi nzuri? Ngoja nikuongezee na hili piaNaomba niseme ukweli kwamba ukitembea vyuo vikubwa Duniani utabaini Ofisi za waalimu ( Tutorial/Dr/Prof) NI eneo ambalo mnaweza mkakaa nakufanya majadiliano mkiwa na facilities zote.
For the first time nimefika university of Dar es salaam kumwona rafiki yangu ambaye nilisoma naye Ila Kwa sasa ni mwajiriwa wa Chuo kikuu cha DSM. Niseme ukweli hata yeye nafsi ilimsuta kunikaribisha ofisini kwake lakini hakuwa na jinsi ikabidi anialike.
Mazingira niliyoyakuta pale yanatia huruma. Hata kama ndo mnasubiri serikali iwajengee Ofisi hapana Madaktari na Maprofesa badilikeni. Haiwezekani sehemu mnayokaa Kwa zaidi ya masaa nane Kwa iwe mbovu kiasi hicho, chumba kimoja kidogo mnajibana wawili au watatu... Mnatumia public toilet, hakuna TV, hakuna desktop, laptop zenyewe zimechoka. Bora nisingeyafahamu haya nikanyamaza lakini naamini nikiandika hapa ntawaamsha watu kwenda kuwatembelea waalimu wao na kuwapa zawadi za meza za kisasa, viti vya kisasa, TV NK.
Labda nimeover expect lakini prof anapaswa awe mtu anayejijali, anayepokea machapisho na kuaandaa machapisho, anayefanya consultation every time that means anapaswa kuwa na Ofisi ambayo inamsadia kutekeleza majukumu yake.
LABDA NITOE USHAURI
1. Pamoja na miundombinu finyu, chuo kila Prof awe na chumba chake chenye meza nzuri, milango mizuri, TV na desktop
2. Tengeni vyumba maalum ambapo watakaa wasaidizi wa Maprofesa. Kwa maana nyingine incase kuna mwanafunzi au MTU anakuwa na program mahususi na Prof basi awe na sehemu anapoweza kukaa na kufanya KAZI.
3. Wekeni bajeti ya chai angalau Kwa wazee na wasomi wetu hawa watulize ubongo na kuwaza mambo mazuri yakuishauri serikali.
4. Waunganisheni kwenye miradi ya serikali wakaome Ofisi na mandhari wanaoishi wahitimu wao.
5. Maprofesa na Madaktari mliotolewa jalalani please wasaidieni wenzenu kifikra waishi maisha ya KAZI yanayoendana na hadhi ya elimu waliyonayo.
6. Kwa kuwa serikali na Maprofesa wenzenu haitawatekelezea niliyoandika 1-5 basi tengeni bajeti mfanye maboresho ya Ofisi zenu kwani muda mwingi wa maisha yenu mnautumia chuoni na ofisini kuliko sehemu nyingine yoyote. Mkikosa Amani na Ofisi mnayokaa mtapata tatizo la kiafya ikiwemo afya ya akili. Kama ninyi niwaalimu wetu onyeshe uprofesa wenu kwenye mazingira yenu ya KAZI.
Hii nimeandika Kwa UDSM lakini naamini vyuo vingine hawa wasomi labda Wana Hali mbaya zaidi yakuishi mazingira Duni wakisubiri serikali na mwajiri afanye miujiza.
Rafiki yangu najua ujajua kwamba nimeumizwa na Ofisi zenu Ila tambua kubadilika kunaanza nawewe... Mnamiliki vipi maguorofa huku mkiishi kwenye Ofisi Duni? Maisha yako ya fahari unaweza unayatengeneza mwenyewe.
I'll be back kuona mmebadilika? Kabudi was right those days.
Nilienda kituo cha polisi pale Morogoro mjini mwaka 2016 nikakuta wanahesabu hela walizokusanya barabarani kwa mkono. Bila mashine. 😂️😂️😂️😂️😂️😂️😂️. Ajabu zaidi meza waliokaa ilikua imeteguka mguu mmoja wameunga na kipande cha mbao.Hivi wewe umewahi kuingia ofisi za wakusanya ushuru huku wilayani, utadhani wao sio wakusanya ushuru hata pazia hawana.
Sio mgomo, sababu sijui,labda matatizo ya akili, juzi nilikuwa hapo udom na manzi yangu naye anasema vyoo hata vya wanawake ni vichafu
Hao wasomi wa kuchora na mavi ndo watashindana na Wakenya?Sio mgomo, sababu sijui,labda matatizo ya akili, juzi nilikuwa hapo udom na manzi yangu naye anasema vyoo hata vya wanawake ni vichafu
🤣🤣🤣🤣🤣Wewe unasema UDSM, UDOM wanapaka ukuta mavi baadhi ya wanafunzi, hawa si ndio ma professor wa siku za usoni
Mmmh!kile chuo cha hospital x pale unaweza kimbia..kwanza hostel zenyewe kama upo kwenye andaki.Baadhi ya vyuo vikongwe vinahitaji ukarabati maalum
Kile cha Profesa Msomi toka Mkoa pendwa?Mmmh!kile chuo cha hospital x pale unaweza kimbia..kwanza hostel zenyewe kama upo kwenye andaki.
Hatarii nilipita huko siku, nikajihisi pumzi inakata, wenyewe wamezoea.. ventilation 0 wana surviveKile cha Profesa Msomi toka Mkoa pendwa?
Mpuuzi mmoja huyu. Kama wanamiliki maghorofa tatizo liko wapi? Maana yake wana kipato kinachokidhi.... Mnamiliki vipi maguorofa huku mkiishi kwenye Ofisi Duni? Maisha yako ya fahari unaweza unayatengeneza mwenyewe.
Hawawezi kabisa😀,vijana ni aibu tupuHao wasomi wa kuchora na mavi ndo watashindana na Wakenya?
Wacha Maprofesa waendelee kukaa kwenye mazingira mabaya ili akili iwakae vizuri hapo mpaka World Bank walete pesa za kukarabati vyoo. Wakati wao wananunua V8. Aisee.Kwa Mazingira kama hayo uliyoyakuta ndiyo utegemee kabisa hapo Kuzalishwa Intellectuals wa kulisaidia Taifa letu Kimaendeleo?