Ofisi za NIDA mkoa wa Mbeya mjirekebishe, msijione mmeyaweza Maisha

Ofisi za NIDA mkoa wa Mbeya mjirekebishe, msijione mmeyaweza Maisha

Kasomi

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2014
Posts
11,030
Reaction score
20,391
Dah inauma sana

Najua humu wapo wafanyakazi either hao wa NIDA sehemu husika au sehemu nyingine.

Pia humu kuna viongozi na bila shaka watapitia bandiko hili.

Leo nilicho shuhudia ofisi za NIDA mkoa wa Mbeya kwa Kweli wale wafanyakazi wanajiona kama wametoboa Maisha yaani wanatesa sana wateja, kwanza hawana lugha nzuri kwa wateja wanaona wametoboa Maisha.

Yaani watu wanavyo fukuzwa utafikiri wao ndio Miungu wa sasa. Sawa pengine ni eneo lao la kazi ila naomba kama wapo humu au mnafahamiana nao waambie nimesema wajirekebishe maisha bado hawajatoboa nao ni waajiriwa bado.

Leo nilikuwa eneo hilo la ofisi sawa ni Sheria kuwa na shati lenye Rangi nyeusi, sasa leo kuja jamaa alizuiliwa kuhudumiwa kisa hana baadhi ya viambatanisho ikabidi amuazimishe mtu shati lake ili apate huduma eti nalo ni kosa. Sawa ni kosa na kama ni kosa ni vyema kumuelekeza ila wao kuona hivyo wanawafukuza eti hatutaki kuwaona muje siku nyingine hapo unakuta Mtu ametika Tukuyu kuja kupata huduma Mbeya mjini unamfukuza kisa kusaidiwa shati eti aje siku nyingine hizo nauli anazo poteza mtamusaidia yaani mnajiona mmetoboa.

Mwingine Mtu wa watu hajasoma anajaribu kuulizia kwa Mtu walau apate maelekezo vyema eti mnamfokea huyo Mtu ambaye anamuelekeza eti yeye ndio anajua sana na kumtisha kumtoa akijifanya Mwalimu sasa kosa lake nini.

Kwa kweli NIDA mkoa wa Mbeya mjirekebishe nina mengi ya kusema ngoja hasira zishuke Maana hapa nina hasira na hao jamaa hasa wapo wanaume wawili na kabinti kamoja. Hakika mjirekebishe Msijione mumeyaweza Maisha.

Nitarudi kuwasema vizuri imeniuma sana.
 
Dah inauma sana

Najua humu wapo wafanyakazi either hao wa NIDA sehemu husika au sehemu nyingine.

Pia humu kuna viongozi na bila shaka watapitia bandiko hili.

Leo nilicho shuhudia ofisi za NIDA mkoa wa Mbeya kwa Kweli wale wafanyakazi wanajiona kama wametoboa Maisha yaani wanatesa sana wateja, kwanza hawana lugha nzuri kwa wateja wanaona wametoboa Maisha.

Yaani watu wanavyo fukuzwa utafikiri wao ndio Miungu wa sasa. Sawa pengine ni eneo lao la kazi ila naomba kama wapo humu au mnafahamiana nao waambie nimesema wajirekebishe maisha bado hawajatoboa nao ni waajiriwa bado.

Leo nilikuwa eneo hilo la ofisi sawa ni Sheria kuwa na shati lenye Rangi nyeusi, sasa leo kuja jamaa alizuiliwa kuhudumiwa kisa hana baadhi ya viambatanisho ikabidi amuazimishe mtu shati lake ili apate huduma eti nalo ni kosa. Sawa ni kosa na kama ni kosa ni vyema kumuelekeza ila wao kuona hivyo wanawafukuza eti hatutaki kuwaona muje siku nyingine hapo unakuta Mtu ametika Tukuyu kuja kupata huduma Mbeya mjini unamfukuza kisa kusaidiwa shati eti aje siku nyingine hizo nauli anazo poteza mtamusaidia yaani mnajiona mmetoboa.

Mwingine Mtu wa watu hajasoma anajaribu kuulizia kwa Mtu walau apate maelekezo vyema eti mnamfokea huyo Mtu ambaye anamuelekeza eti yeye ndio anajua sana na kumtisha kumtoa akijifanya Mwalimu sasa kosa lake nini.

Kwa kweli NIDA mkoa wa Mbeya mjirekebishe nina mengi ya kusema ngoja hasira zishuke Maana hapa nina hasira na hao jamaa hasa wapo wanaume wawili na kabinti kamoja. Hakika mjirekebishe Msijione mumeyaweza Maisha.

Nitarudi kuwasema vizuri imeniuma sana.
Umeandika huku una hasira,jitahid utulie kidogo uandike upyaa
 
Umeandika huku una hasira,jitahid utulie kidogo uandike upyaa
Hawa viumbe wanavyo hudumia wateja kanakwamba wameyamalisha maisha.
Wanasahau wapo hapo sababu ya hao wanao wafokea.
 
Dah inauma sana

Najua humu wapo wafanyakazi either hao wa NIDA sehemu husika au sehemu nyingine.

Pia humu kuna viongozi na bila shaka watapitia bandiko hili.

Leo nilicho shuhudia ofisi za NIDA mkoa wa Mbeya kwa Kweli wale wafanyakazi wanajiona kama wametoboa Maisha yaani wanatesa sana wateja, kwanza hawana lugha nzuri kwa wateja wanaona wametoboa Maisha.

Yaani watu wanavyo fukuzwa utafikiri wao ndio Miungu wa sasa. Sawa pengine ni eneo lao la kazi ila naomba kama wapo humu au mnafahamiana nao waambie nimesema wajirekebishe maisha bado hawajatoboa nao ni waajiriwa bado.

Leo nilikuwa eneo hilo la ofisi sawa ni Sheria kuwa na shati lenye Rangi nyeusi, sasa leo kuja jamaa alizuiliwa kuhudumiwa kisa hana baadhi ya viambatanisho ikabidi amuazimishe mtu shati lake ili apate huduma eti nalo ni kosa. Sawa ni kosa na kama ni kosa ni vyema kumuelekeza ila wao kuona hivyo wanawafukuza eti hatutaki kuwaona muje siku nyingine hapo unakuta Mtu ametika Tukuyu kuja kupata huduma Mbeya mjini unamfukuza kisa kusaidiwa shati eti aje siku nyingine hizo nauli anazo poteza mtamusaidia yaani mnajiona mmetoboa.

Mwingine Mtu wa watu hajasoma anajaribu kuulizia kwa Mtu walau apate maelekezo vyema eti mnamfokea huyo Mtu ambaye anamuelekeza eti yeye ndio anajua sana na kumtisha kumtoa akijifanya Mwalimu sasa kosa lake nini.

Kwa kweli NIDA mkoa wa Mbeya mjirekebishe nina mengi ya kusema ngoja hasira zishuke Maana hapa nina hasira na hao jamaa hasa wapo wanaume wawili na kabinti kamoja. Hakika mjirekebishe Msijione mumeyaweza Maisha.

Nitarudi kuwasema vizuri imeniuma sana.
NIDA ya MBEYA ni nini? NIDA ya MWANZA bana kuna dada bonge pale dawatini unaweza sema hawala wa Suleiman anavyonata
 
NIDA ya MBEYA ni nini? NIDA ya MWANZA bana kuna dada bonge pale dawatini unaweza sema hawala wa Suleiman anavyonata
Kunata kwa kujiona au alivyo umbwa.
 
Kujiona tu yani unaweza akakupandisha juu chini bila sababu utadhan ana kifadulo
Ndio walivyo yaani wanajiuona walipo basi maisha wameyaweza.
 
Mtu ili uhudumiwe inabidi uvae shati jeusi?!
 
Lazima na mbaya Zaidi hata ukiazima wanakukazia
Duh, sijawahi sikia hii ya wateja kuvaa sare zaidi ya kuwa na nguo za staha/mavazi yaliyopitishwa na utumishi.

Poleni sana, natumai kero hiyo itafanyiwa kazi.
 
Duh, sijawahi sikia hii ya wateja kuvaa sare zaidi ya kuwa na nguo za staha/mavazi yaliyopitishwa na utumishi.

Poleni sana, natumai kero hiyo itafanyiwa kazi.
Kwa vile humu wapo wenye mamlaka ngoja tuwasubiri na hili Tatizo litatuliwe mapema.
 
Yaani hapo wanaamua kuwatesa tu watu.
Mbaya Zaidi unakuta mtu ametoka mbali yaani kitendo cha kumurudisha hapo ni kumutesa mteja.
Unakuta nawao wamevaa mitumba Tena imekunyata balaa
 
Dah inauma sana

Najua humu wapo wafanyakazi either hao wa NIDA sehemu husika au sehemu nyingine.

Pia humu kuna viongozi na bila shaka watapitia bandiko hili.

Leo nilicho shuhudia ofisi za NIDA mkoa wa Mbeya kwa Kweli wale wafanyakazi wanajiona kama wametoboa Maisha yaani wanatesa sana wateja, kwanza hawana lugha nzuri kwa wateja wanaona wametoboa Maisha.

Yaani watu wanavyo fukuzwa utafikiri wao ndio Miungu wa sasa. Sawa pengine ni eneo lao la kazi ila naomba kama wapo humu au mnafahamiana nao waambie nimesema wajirekebishe maisha bado hawajatoboa nao ni waajiriwa bado.

Leo nilikuwa eneo hilo la ofisi sawa ni Sheria kuwa na shati lenye Rangi nyeusi, sasa leo kuja jamaa alizuiliwa kuhudumiwa kisa hana baadhi ya viambatanisho ikabidi amuazimishe mtu shati lake ili apate huduma eti nalo ni kosa. Sawa ni kosa na kama ni kosa ni vyema kumuelekeza ila wao kuona hivyo wanawafukuza eti hatutaki kuwaona muje siku nyingine hapo unakuta Mtu ametika Tukuyu kuja kupata huduma Mbeya mjini unamfukuza kisa kusaidiwa shati eti aje siku nyingine hizo nauli anazo poteza mtamusaidia yaani mnajiona mmetoboa.

Mwingine Mtu wa watu hajasoma anajaribu kuulizia kwa Mtu walau apate maelekezo vyema eti mnamfokea huyo Mtu ambaye anamuelekeza eti yeye ndio anajua sana na kumtisha kumtoa akijifanya Mwalimu sasa kosa lake nini.

Kwa kweli NIDA mkoa wa Mbeya mjirekebishe nina mengi ya kusema ngoja hasira zishuke Maana hapa nina hasira na hao jamaa hasa wapo wanaume wawili na kabinti kamoja. Hakika mjirekebishe Msijione mumeyaweza Maisha.

Nitarudi kuwasema vizuri imeniuma sana.
Angiza Kongoro utulize hasira nakuja kulipa
 
Wewe sio wa kwanza hata Mbosso alizitaja sifa za Afisa wa NIDA. Labda kama Sasa wameziongeza maradufu.
 
Back
Top Bottom