Konseli Mkuu Andrew
JF-Expert Member
- May 10, 2013
- 749
- 875
Kuna bwa mdogo mmoja pale naona huwa anatengeneza mazingira ya rushwa kuna siku lazima achomeshwe na wachukia rushwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah inauma sana
Najua humu wapo wafanyakazi either hao wa NIDA sehemu husika au sehemu nyingine.
Pia humu kuna viongozi na bila shaka watapitia bandiko hili.
Leo nilicho shuhudia ofisi za NIDA mkoa wa Mbeya kwa Kweli wale wafanyakazi wanajiona kama wametoboa Maisha yaani wanatesa sana wateja, kwanza hawana lugha nzuri kwa wateja wanaona wametoboa Maisha.
Yaani watu wanavyo fukuzwa utafikiri wao ndio Miungu wa sasa. Sawa pengine ni eneo lao la kazi ila naomba kama wapo humu au mnafahamiana nao waambie nimesema wajirekebishe maisha bado hawajatoboa nao ni waajiriwa bado.
Leo nilikuwa eneo hilo la ofisi sawa ni Sheria kuwa na shati lenye Rangi nyeusi, sasa leo kuja jamaa alizuiliwa kuhudumiwa kisa hana baadhi ya viambatanisho ikabidi amuazimishe mtu shati lake ili apate huduma eti nalo ni kosa. Sawa ni kosa na kama ni kosa ni vyema kumuelekeza ila wao kuona hivyo wanawafukuza eti hatutaki kuwaona muje siku nyingine hapo unakuta Mtu ametika Tukuyu kuja kupata huduma Mbeya mjini unamfukuza kisa kusaidiwa shati eti aje siku nyingine hizo nauli anazo poteza mtamusaidia yaani mnajiona mmetoboa.
Mwingine Mtu wa watu hajasoma anajaribu kuulizia kwa Mtu walau apate maelekezo vyema eti mnamfokea huyo Mtu ambaye anamuelekeza eti yeye ndio anajua sana na kumtisha kumtoa akijifanya Mwalimu sasa kosa lake nini.
Kwa kweli NIDA mkoa wa Mbeya mjirekebishe nina mengi ya kusema ngoja hasira zishuke Maana hapa nina hasira na hao jamaa hasa wapo wanaume wawili na kabinti kamoja. Hakika mjirekebishe Msijione mumeyaweza Maisha.
Nitarudi kuwasema vizuri imeniuma sana.
Aised Basi Dunia ni mahala pao salama kuishi mileleBila shaka kwa sasa wameziongeza Maana si kwa kujiona huko.
Wao wanavyo ona watu wanahangaikia huduma hiyo nao wanaona ni muda wa kuwanyanyasa hata bila sababu ya Maana.Hawajamaa hawafahi mkuu kuna siku nilienda pale nikakutana na kajamaa furani ivi, kembamba kafupi kana ndevu zisizo na ushirikiano kana majibu ya shombo sana
sijuhi kanalingia nini kwanza kanaonekana maisha yake yenyewe magumu, ila kanavyo jimwambafahi sasa;
Kuna bwa mdogo mmoja pale naona huwa anatengeneza mazingira ya rushwa kuna siku lazima achomeshwe .
Wanafanya kazi kimazoea na wale wenzao wa RITA,akili zao zipo sawa
Hawa Nida Rais awatumbue kuanzia Taifa hadi mkoani ni wapuuzi SanaDah inauma sana
Najua humu wapo wafanyakazi either hao wa NIDA sehemu husika au sehemu nyingine.
Pia humu kuna viongozi na bila shaka watapitia bandiko hili.
Leo nilicho shuhudia ofisi za NIDA mkoa wa Mbeya kwa Kweli wale wafanyakazi wanajiona kama wametoboa Maisha yaani wanatesa sana wateja, kwanza hawana lugha nzuri kwa wateja wanaona wametoboa Maisha.
Yaani watu wanavyo fukuzwa utafikiri wao ndio Miungu wa sasa. Sawa pengine ni eneo lao la kazi ila naomba kama wapo humu au mnafahamiana nao waambie nimesema wajirekebishe maisha bado hawajatoboa nao ni waajiriwa bado.
Leo nilikuwa eneo hilo la ofisi sawa ni Sheria kuwa na shati lenye Rangi nyeusi, sasa leo kuja jamaa alizuiliwa kuhudumiwa kisa hana baadhi ya viambatanisho ikabidi amuazimishe mtu shati lake ili apate huduma eti nalo ni kosa. Sawa ni kosa na kama ni kosa ni vyema kumuelekeza ila wao kuona hivyo wanawafukuza eti hatutaki kuwaona muje siku nyingine hapo unakuta Mtu ametika Tukuyu kuja kupata huduma Mbeya mjini unamfukuza kisa kusaidiwa shati eti aje siku nyingine hizo nauli anazo poteza mtamusaidia yaani mnajiona mmetoboa.
Mwingine Mtu wa watu hajasoma anajaribu kuulizia kwa Mtu walau apate maelekezo vyema eti mnamfokea huyo Mtu ambaye anamuelekeza eti yeye ndio anajua sana na kumtisha kumtoa akijifanya Mwalimu sasa kosa lake nini.
Kwa kweli NIDA mkoa wa Mbeya mjirekebishe nina mengi ya kusema ngoja hasira zishuke Maana hapa nina hasira na hao jamaa hasa wapo wanaume wawili na kabinti kamoja. Hakika mjirekebishe Msijione mumeyaweza Maisha.
Nitarudi kuwasema vizuri imeniuma sana.
Ngoja tusubiri mrejesho baada ya kwenda NIDA.Kumbe hawa jamaa wako hivi Asante kwa huu uzi kunijulisha Siku nikienda kufata kitambulisho changu Nida nitaenda na gwanda tuone kama wataniletea mapozi
Baada ya miezi kadhaa nitarudi kwenye huu uzi kukupa mrejesho
Naona nawao wanafanya hayo kwa kumtizama Mtu yaani furaha yao kumuhangaisha mara aondoke arudi siku nyingine wakati hakuna hata sababu ya Maana kumfanyia hivyo Mtu.Mimi nina haiba ya kuwa serious mno, sipatagi hayo majanga maana wangenyooka