Hawa ni jipu inapaswa wajirekebishe kabisa maana watu wengi wanateswa na hawa watu.Hi mishahara wanayopata na kuwafanya waende t...oilet inatokana na kodi za wananchi
Hawajui kabisa wajibu wao baadhi ya wafanyakazi wa tAsisi za umma
Ova
Ndugu mtu akikusumbua kwenye huduma,usibishane nae,nenda kwa bosi wake akusaidie maana ndio mwenye ofisi . Wakikuona unaenda kwa bosi wao watakukimbilia.Naona nawao wanafanya hayo kwa kumtizama Mtu yaani furaha yao kumuhangaisha mara aondoke arudi siku nyingine wakati hakuna hata sababu ya Maana kumfanyia hivyo Mtu.
Madhala ya ajira za kubebwa,hao ni vilaza tu,kinachowapa kiburi ni hako kamshara ka serikali na vimikopo,wakifikuzwa kazi hao,hawana ujanja hata jicho la tatu wanaweza kutoa Ili waiiishi,Dah inauma sana
Najua humu wapo wafanyakazi either hao wa NIDA sehemu husika au sehemu nyingine.
Pia humu kuna viongozi na bila shaka watapitia bandiko hili.
Leo nilicho shuhudia ofisi za NIDA mkoa wa Mbeya kwa Kweli wale wafanyakazi wanajiona kama wametoboa Maisha yaani wanatesa sana wateja, kwanza hawana lugha nzuri kwa wateja wanaona wametoboa Maisha.
Yaani watu wanavyo fukuzwa utafikiri wao ndio Miungu wa sasa. Sawa pengine ni eneo lao la kazi ila naomba kama wapo humu au mnafahamiana nao waambie nimesema wajirekebishe maisha bado hawajatoboa nao ni waajiriwa bado.
Leo nilikuwa eneo hilo la ofisi sawa ni Sheria kuwa na shati lenye Rangi nyeusi, sasa leo kuja jamaa alizuiliwa kuhudumiwa kisa hana baadhi ya viambatanisho ikabidi amuazimishe mtu shati lake ili apate huduma eti nalo ni kosa. Sawa ni kosa na kama ni kosa ni vyema kumuelekeza ila wao kuona hivyo wanawafukuza eti hatutaki kuwaona muje siku nyingine hapo unakuta Mtu ametika Tukuyu kuja kupata huduma Mbeya mjini unamfukuza kisa kusaidiwa shati eti aje siku nyingine hizo nauli anazo poteza mtamusaidia yaani mnajiona mmetoboa.
Mwingine Mtu wa watu hajasoma anajaribu kuulizia kwa Mtu walau apate maelekezo vyema eti mnamfokea huyo Mtu ambaye anamuelekeza eti yeye ndio anajua sana na kumtisha kumtoa akijifanya Mwalimu sasa kosa lake nini.
Kwa kweli NIDA mkoa wa Mbeya mjirekebishe nina mengi ya kusema ngoja hasira zishuke Maana hapa nina hasira na hao jamaa hasa wapo wanaume wawili na kabinti kamoja. Hakika mjirekebishe Msijione mumeyaweza Maisha.
Nitarudi kuwasema vizuri imeniuma sana.
Wanafanya kazi kwa mazoeaHawa ni jipu inapaswa wajirekebishe kabisa maana watu wengi wanateswa na hawa watu.
Kweli kabisa hawa watu walio sehemu hiyo basi wanajiona wameweza yaani hata kumuelekeza mteja ni shida kwao.Madhala ya ajira za kubebwa,hao ni vilaza tu,kinachowapa kiburi ni hako kamshara ka serikali na vimikopo,wakifikuzwa kazi hao,hawana ujanja hata jicho la tatu wanaweza kutoa Ili waiiishi,
Very stupid,mijitu kama hiyo utaikuta,TRA,na ofisi nyingi za serikali.
Ungekuwa una muonekano wa kipedeshee pengine wabgekuachia hawa wanaangalia watu na watuNaona nawao wanafanya hayo kwa kumtizama Mtu yaani furaha yao kumuhangaisha mara aondoke arudi siku nyingine wakati hakuna hata sababu ya Maana kumfanyia hivyo Mtu.
Wao wakwanza kuvunja sheria wanazo weka harafu wanataka wengine wafuate.Nilienda ofisi moja ya nida kuangalia namba Yangu nin kama imetoka, security wakaniambia nivae barakoa kabla cjaingia ofisini, wakati wao wenyewe hawajavaa barakoa..it meant hadi ninunue tena barakoa
Nilighairi kila kitu, nilirudi nlikotoka nliwaacha na minamba yao