Ofisi za TAKUKURU wilaya ya Kinondoni ziko sehemu gani?

Ofisi za TAKUKURU wilaya ya Kinondoni ziko sehemu gani?

Rwebo

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2015
Posts
1,418
Reaction score
1,820
Poleni na majukumu wakuu. Tafadhali naomba kujua sehemu ambayo TAKUKURU wilaya ya Kinondoni Ina ofisi zake kwani ningependa kuzitembelea wanisaidie matatizo yangu.
 
Poleni na majukumu wakuu. Tafadhali naomba kujua sehemu ambayo TAKUKURU wilaya ya Kinondoni Ina ofisi zake kwani ningependa kuzitembelea wanisaidie matatizo yangu.
Pembeni la Benki ya NMB Magomeni ndio ofisi hizo zipo.
Nadhani ni jengo moja na Benki hiyo iliyopo barabara ya Morogoro(road) mita Kama 100 baada ya mataa ya magomeni Usalama unapokuwa unaenda ubungo na ni upande wa kulia
 
Pembeni la Benki ya NMB Magomeni ndio ofisi hizo zipo.
Nadhani ni jengo moja na Benki hiyo iliyopo barabara ya Morogoro(road) mita Kama 100 baada ya mataa ya magomeni hospital unapokuwa unaenda ubungo na ni upande wa kulia
pale panaitwa usalama mkuu
 
Poleni na majukumu wakuu. Tafadhali naomba kujua sehemu ambayo TAKUKURU wilaya ya Kinondoni Ina ofisi zake kwani ningependa kuzitembelea wanisaidie matatizo yangu.
Vp inzi wa kijani bado wanatembeza rushwa nije na pingu....!!?
 
Back
Top Bottom