Librarian 105
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 261
- 356
Maana nimekutana na hawa watu (nawe pia naamini umekutana nao) wanapita mitaani kuomba wasaidiwe matibabu au masuala mbalimbali ya kijamii. Tusiwajadili wale matapeli.
Mana leo nmekutana na mhitaji kweli alipata ajali ya gari. Anahitajika kurudiwa upasuaji wa mguu. Ukicheki gharama ni kama laki sita hivi.
Ameenda kwa mkuu wa wilaya kuomba msaada ila amepatiwa barua ya kuomba msaada kwa wapita njia na maofisini. Je, hii munaitafakari vipi wakuu?
Mkuu wa wilaya yupo sahihi au?
Mana leo nmekutana na mhitaji kweli alipata ajali ya gari. Anahitajika kurudiwa upasuaji wa mguu. Ukicheki gharama ni kama laki sita hivi.
Ameenda kwa mkuu wa wilaya kuomba msaada ila amepatiwa barua ya kuomba msaada kwa wapita njia na maofisini. Je, hii munaitafakari vipi wakuu?
Mkuu wa wilaya yupo sahihi au?