Ogende ogaruke na Shuntama

Ogende ogaruke na Shuntama

Kwetu Bukoba kuna kilainishi Cha nafsi kinaitwa shuntama, upewa Mtu anayetakiwa asichomoke Kwenye mahusiano. Sina uelewa WA Ndani sana kuhusu namna inavyofanya kazi ila hii chakula inasifika sana.

Katika jukwaa kama Ili tunaweza tumia shuntama kama kichokoza mada kufahamu mengi kuhusu asili ya limbwata na nnjia wanazotumia watu kuliswa na namna yakuzikwepa.

Vijana mkipata Shule hii mtakwepa kula vitu vichafu au kupenda kimizimu badala yakupenda Kwa hiari.

Tushuntame
Hio elimu ndio hatuna
 
MJ1 ukishakuwa mhanga wa hayo 'madudu' huwezi kujua maana sasa si utakuwa unapelekeshwa tu kama mkweche unaovutwa na brekidauni?
  • Na hayo mauchafu yakitawala jamii fulani lazima iwe masikini!!!
  • Wanaume wanafungwa na kudumazwa akili ya kutafuta hela.
  • Mwanamke 'anaiuza-uza' hapo eneo moja bila kuleta chachu ya maendeleo kama ujenzi, kusimamia watoto ipasavyo, n.k. Wakati wa uzee wote hawana kitu - wanaishia kuwa walevi hohe have.
 
Back
Top Bottom