Kwetu Bukoba kuna kilainishi Cha nafsi kinaitwa shuntama, upewa Mtu anayetakiwa asichomoke Kwenye mahusiano. Sina uelewa WA Ndani sana kuhusu namna inavyofanya kazi ila hii chakula inasifika sana.
Katika jukwaa kama Ili tunaweza tumia shuntama kama kichokoza mada kufahamu mengi kuhusu asili ya limbwata na nnjia wanazotumia watu kuliswa na namna yakuzikwepa.
Vijana mkipata Shule hii mtakwepa kula vitu vichafu au kupenda kimizimu badala yakupenda Kwa hiari.
Tushuntame