Ogende ogaruke na Shuntama

Hio elimu ndio hatuna
 
MJ1 ukishakuwa mhanga wa hayo 'madudu' huwezi kujua maana sasa si utakuwa unapelekeshwa tu kama mkweche unaovutwa na brekidauni?
  • Na hayo mauchafu yakitawala jamii fulani lazima iwe masikini!!!
  • Wanaume wanafungwa na kudumazwa akili ya kutafuta hela.
  • Mwanamke 'anaiuza-uza' hapo eneo moja bila kuleta chachu ya maendeleo kama ujenzi, kusimamia watoto ipasavyo, n.k. Wakati wa uzee wote hawana kitu - wanaishia kuwa walevi hohe have.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…