matanga melly
Member
- Jun 19, 2011
- 5
- 0
Kuna ofisa wa serikalai idara ya ukaguzi ofisi ya elimu wilaya ya babati,amekwishawaingiza watumishi wenzake na hasa walimu katika madeni makubwa kwani ukisha tambulishwa kwake atajifanya kuwa karibu sana na wewe na hata wakati mwingine kukutembelea nyumbani au mahali pa kazi kama mtu anayekjali sana.mie baada ya kuzoweana aliniomba nimkopeshe hela tsh/900000 ilikuwa ni mwezi wa tatu 2010 akadai kwamba mwezi wa nane 2010 atarudisha ,hadi leo june 2011 hajarudisha.nilipojaribu kumfuatilia amekuwa akitoa vitisho vya hapa na pale,wadau naombeni ushauri ukizingatia kwamba ni bosi wangu.