Ogopa mambo haya matatu!

Ogopa mambo haya matatu!

The sin is not the problem. It is the manifestation of the problem. Telling the people to be wary of the sin does more harm than benefit.
 
Upo sawa ndugu, kitabu cha Mithali katika Biblia kinataja madhara ya hivyo vyote ulivyovitaja hapo.

Lakini dawa ya dhambi ni kutubu na kumwamini Yesu yaani kuokoka

Dawa ya umaskini ni kufanya kazi kwa bidii, kuwekeza, kuishi kwa bajeti inayoendana na kipato chako, kuweka akiba na kufanya biashara. Biblia inasema asiyetaka kufanya kazi na asile, 2 Thes. 3:10.

Dawa ya ujinga ni kusoma Biblia, kusoma vitabu mbalimbali vya maarifa mbalimbali, na kuwasikiliza wenye hekima na maarifa. Biblia inasema, tembea pamoja na wenye hekima, yaani ili uondoe ujinga, uzungukwe na wenye hekima


Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Ukiwa muovu, mjinga na masikini wa Mawazo lazima Utaandika na kuwaita wengine Waovu wajinga na masikini.

Huyu bwana hana lelote lile zaidi ya kubandika Mawazo na Fikra hasi kwa Jamii.

Kuna umuhimu wa kumkwepa ama ata leta janga ndqni ya Jamii ya Waafrika na Watanzania.

Maneno maneno tu.

Mumusome kwa Tahadhari na Umakini. Muendleee kudadavua anachoandika.

Mwisho wa siku, mwisho wa bandiko huwa kuna sababu kuu ya bandiko lelote, liwe limeelekezwa kisiasq, kijamii, kiuchumi n.k

Msiogope kumuuliza maswali kama haya....

Anatoa wapi haya maneno?
Ana dhamira gani?
Alikuwa na sababu ipi kuu kubandika anayobandika?

Anamlenga nani?

Je haya anayo bandika yana manufaa gani? Je ni Chanya au Hasi?

Dadavua. Sio kila kitu kina manufaa.

Yeye kwake ni faraja kutukana hata pale inapoonekana hatukani.

Zuzu la Taikun.
Acha wivu na uoga huyu ROBERT HERIEL YUPO NA KARAMA
 
Kumbe ww ndo shetani mwenyewe
Shetani ni mwema hajawahi kuwa mbaya ila akili za watu ndio mbaya watu wanafanya maovu halafu wanamsingizia shetani lakini wanasahau kuwa kuna mtu ameumba maovu duniani
Laiti mungu asingeumba maovu kusingekuwa na mabaya kwa maneno rahisi mungu pia ana ushetani ndani yake au mungu ndio shetani mwenyewe
 
Acha wivu na uoga huyu ROBERT HERIEL YUPO NA KARAMA
Sina wivu wowote. Woga ndio.
Jamii inateketea. Unafikiri yeye mmoja?
Fungua bongo hilo na sio kutetea kila kitu cha Udhalimu.

Tofauti na wengi ambao wanasoma juu juu, nadosoa mabandiko yake na siyo yeye binafsi, Tatizo linakuja pale mauchwara, wapuuzi na mishetani invyofikiri kama Unavyofikiri wewe.
Kajitathmini. Huo wivu na yeye wa Nini? Hunijui, Hanijui, Hunijui...nachoelewa ni kudadavua. There is a lot of Dis-Information and one or some have to stand up.
Kuna uwezekano mkubwa Madada wanajinyonga, watu wanatelekeza Mama zao, Wake zao au Wazazi kwa sumu za huyu jamaa. Maadili na Tamaduni za Afrika na fikra zinaingiliwa. Simuachii mpaka kieleweke. Unajua Misogynist ni nini?

Hatuwezi kukubali(waafrika) kuingiliwa mpaka kwenye maadili yetu kwa mbinu kama hizi bila kusema kitu.
Jitathmini
 
Sina wivu wowote. Woga ndio.
Jamii inateketea. Unafikiri yeye mmoja?
Fungua bongo hilo na sio kutetea kila kitu cha Udhalimu.

Tofauti na wengi ambao wanasoma juu juu, nadosoa mabandiko yake na siyo yeye binafsi, Tatizo linakuja pale mauchwara, wapuuzi na mishetani invyofikiri kama Unavyofikiri wewe.
Kajitathmini. Huo wivu na yeye wa Nini? Hunijui, Hanijui, Hunijui...nachoelewa ni kudadavua. There is a lot of Dis-Information and one or some have to stand up.
Kuna uwezekano mkubwa Madada wanajinyonga, watu wanatelekeza Mama zao, Wake zao au Wazazi kwa sumu za huyu jamaa. Maadili na Tamaduni za Afrika na fikra zinaingiliwa. Simuachii mpaka kieleweke. Unajua Misogynist ni nini?

Hatuwezi kukubali(waafrika) kuingiliwa mpaka kwenye maadili yetu kwa mbinu kama hizi bila kusema kitu.
Jitathmini
We mswahili Sana
 
Wewe msaga sumu, be usiniwekee vi thanks vya kinafiki.
Asante lakini, tutaelewana mbele.

Amani ikufikie Unywe chai bila bugudha.

Mkuu leo ndio nasoma hii comment yako.

Watibeli ni Watu bora siku zote ambao hutaka kila mtu awe bora.
Wasaga sumu ni wale wasiotaka haki, ukweli, maarifa na upendo
 
hebu ongezea WOGA!
binadam anakwamishwa na kufanya mambo mengi au kukosa mambo mengi kisa WOGA!
ukiona una uthubutu jua umeshinda mambo mengi kwa mpigo
 
Back
Top Bottom