Mke wako???Unaendekeza umalaya na ukahaba pia. Mimi nikimpa pesa, matumizi yake yanafahamika na ni kwa ajili ya family, sio maintenance yake. Yeye anafanya kazi. Akitaka nimpe extra. Afanye kazi ntakayompatia kwa makubaliano!! Sio nimpe tu simply because ni mwanamke
Sasa kama anajishughulisha ya nini kuwa ombaomba, kama sio kujisha utu bureAtakua mpumbavu wa mwisho huyo mwanamke uache kujishughulisha kisa una uhusiano na mtu umempenda na kumthamini?? 😅😅
😅Atakua ana mapepo
Wakaka mwanamke wa hivi kimbia mara 1
De nadaOBRIGADO
Congratulations, you're still living!
🤣🤣🤣 Ukisimama mkuki ukikimbia mshaleNashauri mwanamke wako muhudumie!!
Watamla usipo muhudumia na hata ukimuhudumia watamla vile vile!! Asante 😳😳
Kuna raha yake, kula unacho kitunza.Wadau hasahasa wanaume, kuna utamaduni ambao kimsingi binafsi naona umechangia kwa kiasi kikubwa sana matatizo ya mahusiano.
Kuna kitu wanawake wanaita 'pesa ya matunzo', au 'huduma' na majina mengine mengi.
Wanaume wengi wameingia kwenye huu mtego hasa wakiwa na kahela hata kadogo anaona ni jukumu lake kumhudumia mwanamke ambae naye anapaswa kufanya kazi na kujitafutia.
Sasa, hili jambo limepelekea wanawake kujihusisha na ukahaba na umalaya.
1. Mapenzi ambayo ni yanahusisha miamala, yani transactional relationship ni biashara tayari.
2. Pale mwanaume anapokosa riziki, au kufulia, suala la kugongewa linakuwa karibu kabisa naye sababu mwenzie alishazoea maintenance.
Kwahiyo ataangalia option nyingine huku wewe ukitaabika na stress.
Nilibahatika kidogo kuishi na tamaduni kadha wa kadha, lakini niligundua kuna baadhi ya tamaduni hawaendekezi huu upuuzi.
Pesa haitolewi bila kazi ya msingi. Sasa mwanaume jiulize hiyo pesa unaitoa kwasababu tu ni mwanamke au kwasababu ya huduma gani?
Mwisho kabisa. Watu wengi wameweka ndani makahaba bila kujua, na mtashangaa sana mahusiano ya kisasa yalivo na misukosuko.
OBRIGADO.
Dada mbona povu!? Umeguswa!!Umaskini unakusumbua
Akikujibu utanistuaMaskini ni yupi, anayeomba au anayeombwa?
✔️Hudumia mke sio demu
Kwani kupewa matunzo ni kuomba omba??Sasa kama anajishughulisha ya nini kuwa ombaomba, kama sio kujisha utu bure
Mwanamke anayeona upendo hauwezi kuwepo bila pesa huyo ni danga tu hawa mara nyingi huwa hawaolewi ni wakitumika tuNdugu wanawake wote, mwanaume anaekupenda na kukuthamini hataacha kukuhudumia sawa sawa na uwezo wake.
Kama hafanyi hivyo kimbia huyo ni tapeli
PARASIENTE AOLAA!OBRIGADO
A presto mileWadau hasahasa wanaume, kuna utamaduni ambao kimsingi binafsi naona umechangia kwa kiasi kikubwa sana matatizo ya mahusiano.
Kuna kitu wanawake wanaita 'pesa ya matunzo', au 'huduma' na majina mengine mengi.
Wanaume wengi wameingia kwenye huu mtego hasa wakiwa na kahela hata kadogo anaona ni jukumu lake kumhudumia mwanamke ambae naye anapaswa kufanya kazi na kujitafutia.
Sasa, hili jambo limepelekea wanawake kujihusisha na ukahaba na umalaya.
1. Mapenzi ambayo ni yanahusisha miamala, yani transactional relationship ni biashara tayari.
2. Pale mwanaume anapokosa riziki, au kufulia, suala la kugongewa linakuwa karibu kabisa naye sababu mwenzie alishazoea maintenance.
Kwahiyo ataangalia option nyingine huku wewe ukitaabika na stress.
Nilibahatika kidogo kuishi na tamaduni kadha wa kadha, lakini niligundua kuna baadhi ya tamaduni hawaendekezi huu upuuzi.
Pesa haitolewi bila kazi ya msingi. Sasa mwanaume jiulize hiyo pesa unaitoa kwasababu tu ni mwanamke au kwasababu ya huduma gani?
Mwisho kabisa. Watu wengi wameweka ndani makahaba bila kujua, na mtashangaa sana mahusiano ya kisasa yalivo na misukosuko.
OBRIGADO.
Mkuu usilazimishe mtazamo wako ufananane na wengine, kama kiuchumi hauko vizuri ni sawa.Unaendekeza umalaya na ukahaba pia. Mimi nikimpa pesa, matumizi yake yanafahamika na ni kwa ajili ya family, sio maintenance yake. Yeye anafanya kazi. Akitaka nimpe extra. Afanye kazi ntakayompatia kwa makubaliano!! Sio nimpe tu simply because ni mwanamke
Umewasilisha vyemaNashauri mwanamke wako muhudumie!!
Watamla usipo muhudumia na hata ukimuhudumia watamla vile vile!! Asante 😳😳