Ogopa Teknolojia: Nimeweka mkataba wa bandari kwenye Chat-GPT, Imejibu kwamba bandari zitakuwa za DP World Milele!

Hivi bro umeshafanya study walivyokuwa affected na hawa watu? Hata walio na exposure.they are highly affected psychologically juu ya hiyo race .sina cha kusema I think we really need study on this .sijui ni utumwa umewaharibu?
Naona haja ya kufanya study zaidi kuelewa hili kwa undani. Unakuta mmatumbi na shule amesoma mpaka duniani huko lakini anaona fahari kuoa wanaowaita ngozi ya mtume, pengine hata asiye na elimu inayoendana na aliyonayo yeye.
 
Naona haja ya kufanya study zaidi kuelewa hili kwa undani. Unakuta mmatumbi na shule amesoma mpaka duniani huko lakini anaona fahari kuoa wanaowaita ngozi ya mtume, pengine hata asiye na elimu inayoendana na aliyonayo yeye.
hawawezi kukuruhusu uoe binti yao mpaka waone namna wanayoweza kukutumia kimaslahi, aidha uwe tajiri au uwe na cheo kizito.

nenda hata hapo Pemba tu, mpemba anafanya juhudu kubwa afanane na muarabu lakini hapewi binti wa kiarabu, labda akidhi hivyo vigezo.

labda kwa hawa machotara wa Tabora na Tanga pana nafuu.
 
Mbona hujamwekea chatgpt article 5:4?
NIkuombe utupe usuli wa hili sakata kwenye video hapo.

Je ni DP World hawa hawa au replica?
Your browser is not able to display this video.
 
Wanataka kuvunja muungano na wameona hii ndiyo njia pekee ya Tanganyika kuanzisha mchakato wa kuuvunja mchakato. Wako sahihi. Tuuvunje.
 
Hatuwezi kuhesabu vifaranga kabla havijatotolewa. Mikataba ya utekelezaji ambayo haijaandikwa (hatujui ikoje) haituzuii kujadili framework (MoU) ambayo tayari ipo, imesainiwa na serikali na imeridhiwa na Bunge.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Wewe umekula hongo fisi wewe
"Hongo" ni kwa wale wasioziona furasa na wezi wa mali za umma.

Fursa zote hizo na Jiji la Dar Es Salaam ndiko nimeazaliwa nimekulia. Waarabu wajomba zetu watu wa wa pwani, Halafu kwa Uislam wetu ni ndugu zetu. Yote hayo bado iwe "hongo"?
useme tunahongwa?
Hivi wewe unamhonga dadako? Makubwa.

Watu tunavuta tu kwa Waarabu wa Dubai, Oman, Saudi Arabia na Qatar.

Ndiyo kwanza tunapokea maposa kibao ya binti zetu halafu useme tunahongwa? Unanchekesha.

DP World Hoyeee.
 
NIkuombe utupe usuli wa hili sakata kwenye video hapo.

Je ni DP World hawa hawa au replica?
View attachment 2676317
Sasa kijana husikii, kesi ya mwaka 2014?

Wasomali wamekasirika, DP World eti kauza share za kampuni yake kwa Ethiopia.

Hiyo mbaona msomali ana deni mpaka leo analipa? Ndiyo hao wajinga wajinga kama kina Mbowe, walianza kuleta ubaguzi kwanini Waethiopia wauziwe share na Wasomali wapo?

Hiyo kesi tunaijuwa na hukumu yake tumeiweka humuhumu JF, GP World kashinda mamillioni ya Dollar.

没有研究就没有发言权——毛泽东

No research no right to speak - Mao Tse Tung.
 
Naomba link yake ili nielimike
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Biubwa kakaa kimya utadhani hasomi, aambiwi, haoni, utadhani ni ile sanamu aliyoota mfalme kisha Danieli akaenda kuitafasiri, - inapatikana kwenye Bibilia.

Ila inasikitisha sana kuona mpaka robots wanaukataa huu mkataba ulivyo wa hovyo!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…