Ogopeni: Lilian Garden Bar Mikocheni

Pombe inapunguza nguvu za kiume
Labda Serengeti lager... Lakini Safari ni mkuyati tosha... na usije jaribu Konyagi na red bull kama huna kidate, manake utaishia kumaliza sabuni...
 

Attachments

  • Image583.jpg
    735.8 KB · Views: 75
Last edited:

Pole mama wanataka kushibia migongoni mwa watu!
 
Ogopeni: Lilian Garden Bar Mikocheni

--------------------------------------------------------------------------------

Quote:
Originally Posted by Yo Yo
Pombe inapunguza nguvu za kiume

Hii kiboko, ehe inapunguza vipi!!!

KWANGU =INANIONGEZEA NGUVU NA HAMU YA NANIIIIII
KAMA UKO INAPUNGUZA POLE!!!!KUNYWA W****KI
 
KWANGU =INANIONGEZEA NGUVU NA HAMU YA NANIIIIII
KAMA UKO INAPUNGUZA POLE!!!!KUNYWA W****KI
Zaidi inasaidia wengi kubanjua amri ya sita
"Beer helping ugly people to have sex..."
 

lol
Yaani huyo jamaa angesema ni mkoa gani lazima ningeenda kula krismasi huko.

Mamami bia za kopo mbona rahisi, hilo kopo unalisukumiza chini ya meza tu.
 

Huo uchumi wa wapi huo?

Mbona unasahau kwamba mauzo ya bia yakishuka watu watabaki na hela zao mfukoni? Fedha zikibaki mfukoni si watafanyia matumizi mengine? Wakifanyia matumizi mengine, hayo matumizi mengine si yatachangia kwenye kodi? Au hata wakiziacha benki, si benki zitakuwa na pesa zaidi za kukopesha? Kukiwa na pesa zaidi za kukupesha miradi si itaongezeka, au hata riba itashuka?

Yaani unavyoiweka ni kama vile watu wasiponunua bia basi hizo hela zao zinayeyuka.
 

Kweli?

Wewe unafaa sana.
 

Mama Mia , ni ile bar karibu na kwa MAma Mlaki? inaendeshwa na Mlebanoni, na Meneja wake mama ni Mrwanda au Mrundi? Tupe feed back
 
hilo tatizo la bill kuletwa isivyo linaweza kuwa la mtandao mpana hapo bar. kwasababu kama huo ndo mchezo wake lazima wateja wameshalalama sana kwa boss wa bar. kufumbia macho ni dalili ya yeye bosi kuhusika
 

kwa kawaida bar zote watumishi wakiwa wanawake huduma inakuwa mbaya sana! kama hukuwapa pesa au kinywaji wanasusa kukupa huduma.huwa wana kawaida ya kwenda kuwahudumia wateja wanaowapa pesa au kinywaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…