Dhana ya msaada ina presume mahitaji; misaada inaomba pale ambapo kuna hitaji na hitaji ambalo sisi wenyewe kwa kutumia uwezo wetu wa ndani na raslimali zetu tumeshindwa kulipatia ufumbuzi hitaji hilo. Kwa mfano, je hatuna uwezo wa kutoa dola 50,000 kununua vitu vyote hivyo tulivyopewa na Wachina.. ukisema "hatuna" basi unaingiza ukweli kuwa kuna "hitaji" kwa hiyo wachina wanapokuja na misaada tunawashukuru kwa sababu wameitikia hitaji ambalo sisi hatukuwa nalo.
Bila kufahamu hili utajikuta unakinga mikono kila unachopewa kwa sababu tu ukikataa utaonekana una ringa.