Oil chafu Dudubaya alamba shavu Wasafi festival 2018

Konki Konki Konki masta. Raha Konki itamke mara Tatu. Hivi maana ya Konki ni nini?Hongera sana kwake kama kapata shavu.
Nadhani inatokana na neno 'concertated', kama inavyojulikana neno hilo hutumika kueleza kemikali ambazo hazijawa diluted kwa hiyo zinakuwa kali sana. Kwa hiyo kufupisha plus kutohoa ndipo likazaliwa neno konki. Kwa hiyo konki ni kitu hatari/kikali.

Ni mawazo yangu tu lakini.
 
po

POLE SANA NAONA WAMEKU AMBER RUTTY A MKUU......HUWEZI KUSEMA KITU AMBACHO HAKIJAKUTOKEA
 
Haya tunaisubir kwa hamu
 
WASAFI FESTIVAL IS EQUIVALENT TO BUT NOT EQUAL TO FIESTA.Vibe kama Loooooooteeee
 
Konki konki konki master ahahahahahaahha bila shaka wewe ni B12
 
Kuna mdau kanifanya nicheke peke yangu kama mwehu.
Eti kasema Mondi anaogopa kuunganishwa kwenye list.
 
'Concentrated'
 
ila ukimuangalia sana Mond mmh niishie hapo
 
Avatar yako umenikumbusha mbali kuogeshwa kwenyw karai kubwa langu lilikuwa lakijani zuri kweli limepita vitu vingi pembeni .
Nilikuwa napenda kuoga because ya hivyo vitu.
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ ukimaliza kuoga unaanza kucheza unapigapiga maji, yakiruka unafuraaahi๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
CHAKUMA itapendeza ikiwa chama cha kuumbua mashoga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ