Oil chafu Dudubaya alamba shavu Wasafi festival 2018

Oil chafu Dudubaya alamba shavu Wasafi festival 2018

Konki Konki Konki masta. Raha Konki itamke mara Tatu. Hivi maana ya Konki ni nini?Hongera sana kwake kama kapata shavu.
Nadhani inatokana na neno 'concertated', kama inavyojulikana neno hilo hutumika kueleza kemikali ambazo hazijawa diluted kwa hiyo zinakuwa kali sana. Kwa hiyo kufupisha plus kutohoa ndipo likazaliwa neno konki. Kwa hiyo konki ni kitu hatari/kikali.

Ni mawazo yangu tu lakini.
 
po
NAONA MASHOGA WANAKUMBATIANA.

DUDU BAYA NI MFIRAJI WA MASHOGA, TUNA USHAHIDI WAKE WA KUJIHUSISHA NA VITENDO VYA UFIRAUNI NA YULE SHOGA MAARUFU AMBAYE KWA SASA NI MAREHEMU ALIYEJULIKANA KAMA ANTI BILAL.

DIAMOND PLATNUMZ ANA REKODI MBAYA AMBAYO SITAPENDA KUITAJA HAPA. ANAJIFAHAMU MAMBO ALIYOYAFANYA NA AKINA B-DOZEN NA WENZAKE KIPINDI KILE ANACHIPUKIA.

NI HATARI SANA HAWA WAFIRAJI WANAPOONEKANA NI MASHUJAA KATIKA JAMII KWA AJILI YA KUWADHALILISHA WENGINE.

POLE SANA NAONA WAMEKU AMBER RUTTY A MKUU......HUWEZI KUSEMA KITU AMBACHO HAKIJAKUTOKEA
 
Akizindua msimu mpya ya wasafi festival Diamond platnumz amesema mkongwe wa hip hop Dudubaya atapanda stage ya wasafi festival na wakali wengine.
"Nimeongea na uongo ili kuweka wakongwa ambao hawajatoa nyimbo muda mrefu nao waweke kupanda jukwaani watu wamewamiss , dudubaya ni Kaka nitufurah kupanda nae jukwaa moja.
Wasafi festival itaanza rasmi tarehe 24 novemba mkoani mtwara ikifuatiwa na Iringa na Morogogo
View attachment 922100
Haya tunaisubir kwa hamu
IMG_20181104_142325_753.jpeg
 
Akizindua msimu mpya ya wasafi festival Diamond platnumz amesema mkongwe wa hip hop Dudubaya atapanda stage ya wasafi festival na wakali wengine.
"Nimeongea na uongo ili kuweka wakongwa ambao hawajatoa nyimbo muda mrefu nao waweke kupanda jukwaani watu wamewamiss , dudubaya ni Kaka nitufurah kupanda nae jukwaa moja.
Wasafi festival itaanza rasmi tarehe 24 novemba mkoani mtwara ikifuatiwa na Iringa na Morogogo
View attachment 922100
WASAFI FESTIVAL IS EQUIVALENT TO BUT NOT EQUAL TO FIESTA.Vibe kama Loooooooteeee
 
NAONA MASHOGA WANAKUMBATIANA.

DUDU BAYA NI MFIRAJI WA MASHOGA, TUNA USHAHIDI WAKE WA KUJIHUSISHA NA VITENDO VYA UFIRAUNI NA YULE SHOGA MAARUFU AMBAYE KWA SASA NI MAREHEMU ALIYEJULIKANA KAMA ANTI BILAL.

DIAMOND PLATNUMZ ANA REKODI MBAYA AMBAYO SITAPENDA KUITAJA HAPA. ANAJIFAHAMU MAMBO ALIYOYAFANYA NA AKINA B-DOZEN NA WENZAKE KIPINDI KILE ANACHIPUKIA.

NI HATARI SANA HAWA WAFIRAJI WANAPOONEKANA NI MASHUJAA KATIKA JAMII KWA AJILI YA KUWADHALILISHA WENGINE.
Konki konki konki master ahahahahahaahha bila shaka wewe ni B12
 
Kuna mdau kanifanya nicheke peke yangu kama mwehu.
Eti kasema Mondi anaogopa kuunganishwa kwenye list.
 
Nadhani inatokana na neno 'concertated', kama inavyojulikana neno hilo hutumika kueleza kemikali ambazo hazijawa diluted kwa hiyo zinakuwa kali sana. Kwa hiyo kufupisha plus kutohoa ndipo likazaliwa neno konki. Kwa hiyo konki ni kitu hatari/kikali.

Ni mawazo yangu tu lakini.
'Concentrated'
 
ila ukimuangalia sana Mond mmh niishie hapo
 
Avatar yako umenikumbusha mbali kuogeshwa kwenyw karai kubwa langu lilikuwa lakijani zuri kweli limepita vitu vingi pembeni .
Nilikuwa napenda kuoga because ya hivyo vitu.
😀😀😀 ukimaliza kuoga unaanza kucheza unapigapiga maji, yakiruka unafuraaahi😀😀😀
 
Konk konk konk master

Hongera sana mwenyekiti wetu Wa CHAKUMA dudu baya mamba kuitwa wasafi festival

Kwa wasio jua CHAKUMA ni ni ni? CHAKUMA ni chama cha kutokomeza machoko na mamba oil chafu akiwa ni mwenyekiti Mimi ni mjumbe ndan ya CHAKUMA

CHAKUMA kidumu milele, wote semeni KIDUMU CHAMA CHA CHAKUMA
CHAKUMA itapendeza ikiwa chama cha kuumbua mashoga
 
Back
Top Bottom